Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #21
Sawa mvuta bangiNafikiri mtu akipitia nyuzi zako atagundua kuwa unasumbuliwa na ushamba,ulimbukeni,upumbavu,ujinga,utaahira,uchizi,uwendawazimu,kichaa n.k kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii.
Nb:Afya ya akili inakuhusu.
Ushauri wa nguvu za gizaMfuate jamaa mwambie akuoe wewe
Kaburi la milima limefukuliwa wallah!! Marehemu Ruge alishawahi kusema, hapa duniani ogopa Mungu na technolojia
Sjajua kinachomuuma ni nini hasa kwamba alitaka huyo binti asiolewe abaki tu akimuangalia binti wa watu anateseka au rafiki yake kuoa ex wake .Ushauri wa nguvu za giza
Rafiki wa damu ndo kitu gani?Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.
Tahadhari. Adui wako hatoki mbali ni huyo hapo wa karibu maana haiwezekani mimi nimeachana na mpenzi wangu kwa mgogoro mkubwa, tena ni huyu huyu rafiki angu akawa anasema pole Mpwayungu village ila Leo anachukua yeye.
Haina shida Mungu yupo acha maisha yaendelee ila ipo siku watanikumbuka