Ex wangu na mwanamke wake wananisumbua

mpe nafasi mwanaume mwingine achana na mume wa mtu
 
Ndio nimeamka najutia kupoteza muda wangu kutukanana na wapumbavu
 
Haya bana, hili nalo ni la kuomba ushauri?

Mtumie text hii.

"Badilika muda haumsubiri mtu, tulia na mama watoto mtarajiwa. Sina muda na upumbavu wetu wa zamani. Kama umeamua kubakia katika huo upumbavu baki mwenyewe"

Tatizo baada ya muda mfupi utamuomba muamala ingawa unatuambia ume move on
 
Hayo yoote ili nikuone nikitongoze
 
Hii stori ilishawaig kuletwa hapa jf, hii ni marudio, umefanya marudio kma movie za azam wanavozirudia rudia
 
sijui kakuta sms za zamani na miamala ya pesa nikitumiwa mimi 😆😆

Ex wangu nampenda ila sina namna ya kuwa nae😄😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…