Ex wangu nampenda ila kampa mimba mwanamke mwingine

Na umeshamuita ni "X"! Sasa unataka nini tena?Au x ina maana gani?
 
Watu wanataka watoto wewe unadengua wakati wanawake wengi wapo tayari, ata ungekuwa unahitaji mtoto alafu mwenza wako hataki ungefanya nini maana yeye kioaumbele chake awe na mtoto.
 
Sawa sasa wote tulikuwa na Miaka 23 mimi sina kazi japo yeye alikuwa nayo… kweli ningemzaliaje hapo..

Na mpango wa kuoa bado hata sasa bado hawezi kunioa kwasababu ya mambo fulani fulani kazini kwake

Nimeogopa kuwa single maza
Mambo flani flani kazini kwake, kwani ni mwanajeshi hajamaliza mkataba?

Halafu thread yako yote hii haujasema ulitaka nini katika mahusiano yenu hadi akakuona wewe ni mpuuzi akatafuta mwanamke mwingine?

Kuzaa unasema bado wewe mdogo, mwenzako alikuweka wazi kuwa umri wa kuzaa tayari na anataka mzae, wewe hukutaka na haukuweka wazi kwa mwenzako umri ambao ulitaka uanze kuzaa.

Mwenzako alikuona misimamo na malengo yenu haviendani ndiyo maana akatafuta mtu wanayeendana naye.

Kusema anaendelea kukupenda yawezekana anasema ukweli.

Chemistry ya kiume inaruhusu kupenda mwanamke zaidi ya mmoja na maisha yakasonga.

Sasa kuwa mke wake wa pili, maana sifa za kuwa mke wake wa kipekee uliipoteza.

Siwezi kukushauri vinginevyo mama, maana penzi la watu huwa halivunjwi na wapambe bali huvunjwa na wao wenyewe.
 
Kwanza haujieelewi binti, pia haujui unataka nini.
Pili sina cha kukushauri zaidi ya kukusisitiza ufanye kile utakacho ona kinakufaa pasipo kuomba ushauri kwa mtu yeyote.
 
Yaani mwanamke miaka 23 unajiona mdogo kuzaa?
Mwanamke umri ukishafika miaka 21 tu ujue soko lako litaporomoka kila uchwao maana hapo unakimbilia kwenye 30's ambapo ni mshangazi tayari.
 
Binafsi nasimama na mtoa mada huwezi kubali kubeba ujauzito wakati hujui hatma yenu ya mahusiano

Mwisho wa siku aje kupondwa hapa kisa single mom kama hujaolewa na matumaini ya kuolewa epuka kuzaa mapema full stop.
 
Reactions: _ly
Achana naye huyo mwanaume endelea na maisha yako na kama unakubali kuendelea naye kubali uke wenza na kumbuka huyo amekutangulia kumzalia huyo jamaa kwaiyo atakuwa na nguvu hata hapo baadae pengine yeye anaweza onekana ni mke wa kwanza wewe ndio mke wa pili...
 
Huna msimamo unaendeshwa na mihemko umekurupuka kumpa mimba mwanamke mwinginee for the sake of unahitaji mtoto under 27 una presha ya kupata mtoto hivyo
Wamekuwa n mahusiano ya mwaka mzima, mtu ana umri wa 25 na Ana kazi then unasema amekurupuka kumpa mtoto.

"Mwanamke mwengine" minimize this act huyo ni mwanamke wake na si mwanamke mwengine bali mwanamke mwingine ni wewe hapa.

Unafosi maono yako kua maono ya wenzio, yeye anataka mtoto wewe hukutaka amempata aliyekuwa na maono sawa wamezaa why uje kufosi kuingilia maono yao na wewe si utafute asiyehitaji mtoto mwenzio.

Kitu pekee hapa ulikuwa na haki ya kuongea ni kukurudia huku akiwa na mwanamke mwengine sio blaa blame za mwak mmoj, kisasi, kisasi watu mmeacha as if mtu mkiachana bado unamiliki.

Komaa kiakili sio Hisia Hisia
 
Watu wanataka watoto wewe unadengua wakati wanawake wengi wapo tayari, ata ungekuwa unahitaji mtoto alafu mwenza wako hataki ungefanya nini maana yeye kioaumbele chake awe na mtoto.

Sawa mimi siwezi kuzaa na mwanaume ambae sio mume labdaa itokee bahatii mbaya siwezi ku risk maisha yangu anaenipenda na mwenye utayari wa kuoa kwa wakati huo hanaga hizo slogan za nizalie mtoto kizazi changu sio cha majaribio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…