Ex wangu nampenda ila kampa mimba mwanamke mwingine


[emoji3][emoji3]ndio nampenda na nataka sana kuanza maisha na yeye sema naogopa sana wanawake wa siku hizi wanaroga asije akanipiga kipapai
 

Yeye alikuwa na mimi huku yupo na huyo sio kwamba hatukuwa na mahusiano tulikuwa nayo kizuizi ilikuwa ni umbali tu na kugombanagombana

Na huyo mwanamke bado hajazaa ni mjamzito sidhani hata Kama amefika miezi 5

Wewe unajua umri huo nilikuwa wapi nyie ndio mnazalisha wanawake then mnawatelekeza
 
Hivi watoto mnafanya mambo ambayo hata wazazi wenu hatufanyi, kijana wa miaka 25 anaishi na mwanamke x, anataka ampangishie mwanamke Y nyumba, anazaa kisa atafuta mrithi akifariki.

Nisaidie wewe Mzee humu wanao comments wengi ni vijana wa hovyo wanaoshambulia singomaza Halafu hapa wananishauri nimzalie
 
Wewe unajua umri huo nilikuwa wapi nyie ndio mnazalisha wanawake then mnawatelekeza
Tatizo lako linguine kubwa ni hili la kutokujua nafasi ya mwanaume na nafasi yako wewe mwanmke.

Mimi kizalisha mwanamke na kumtelekeza hii ni nafasi yangu mwanaume wewe kama mwanamke simama na nafasi yako hakikisha haggai kabla ya ndoa kupambana na mwanaume wa namna hii.

Mimi sijakulaumu kukataa kuzaa bali wewe kukaaa na kushangaa walikokubaliana kuzaa that your problem. Na hapa nauhakika unaenda kuzalisha janga kubwa na matokeo ni kuumia wewe tu.

Watu wakizaa wamezaaa
 

Hivi my dear ndoa ya watu wa Miaka 23 uliiona wapi yaani mzazi gani atakubali hilo jambo

Hata hivyo mtu anakwambia rafiki zangu wote wana watoto na mimi nataka mtoto Wewe Kama wewe ungemuelewaje yaani yeye anafata makumbo fulani kafanya hivi basi na yeye afanye hivi

Mimi nilikataa kwasababu nilimuona bado aakili za kupelekwa nikamwambia tutulie ili baadae tutazaa sisi tukitaka sio kuzaa kwasababu ya fulani

Na nikukosoe hapa kukataa kuzaa na mtu aina maana tuna date for fan mimi nilishamwambia atulie angalau abakize Miaka 2 kazini then tuzae yeye haraka zake mara atakufa sijui mrithi sijui nini
 

Hana mke huyo… kapanga chumba kamuweka mwanamke yeye anaishi sehemu nyingine na kwasababu huyo dada ana ujauzito wake

So na mimi alisema nikipata ujauzito wake atanipangia atanilea mimi na mimba yangu

Kumblock siwezi na sitaki
 
Sawa mimi namtaka kwa shart la yeye kumuacha huyo mwingine… nipe mbinu za kupindua hiyo meza
Hebu muonee huruma mwanamke mwenzio ambaye tiyari ana kiumbe tumboni mwake, wewe ulipewa first chance ukaichezea. Hebu tulia huko au kama vipi tafuta mwanaume mwingine mbona wapo Tu. Usitake kuvuruga mahusiano ya watu wengine
 

Ningeweka hapa text zake sema ni kumchoresha jamaa na nimechokaa kuandika kila kitu
 
Hebu muonee huruma mwanamke mwenzio ambaye tiyari ana kiumbe tumboni mwake, wewe ulipewa first chance ukaichezea. Hebu tulia huko au kama vipi tafuta mwanaume mwingine mbona wapo Tu. Usitake kuvuruga mahusiano ya watu wengine

Tunavuruga tu Kama ni wangu atabaki Kama sio atapotea huu mwaka ni wa kuforce
 
Hana mke huyo… kapanga chumba kamuweka mwanamke yeye anaishi sehemu nyingine na kwasababu huyo dada ana ujauzito wake

So na mimi alisema nikipata ujauzito wake atanipangia atanilea mimi na mimba yangu

Kumblock siwezi na sitaki
Hebu niambie sababu ya kutokumblock
 
Hivi my dear ndoa ya watu wa Miaka 23 uliiona wapi yaani mzazi gani atakubali hilo jambo
Ulisema muna 25 wote ninyi ni watu wazima tiali, wazazi wanahusiakaje na maamuzi yenu watu wazima wa 25 kama watoto aisee.
Kupata mtoto sio mkumbo ni nature kila binadamu ataxia haikimbiki hio kuangalia mkumbo ni very miner through kuna wanaozaa bila maturation mimba shuu
Na nikukosoe hapa kukataa kuzaa na mtu aina maana tuna date for fan mimi nilishamwambia atulie angalau abakize Miaka 2 kazini then tuzae yeye haraka zake mara atakufa sijui mrithi sijui nini
You and him is done, Move on na tafuta mwengine utayeendana nae through Duania ya leo kupata munaendana maono ni Sokabet mzee, you need to play smart.

Kuendelea kubakinae na kumpa lawama has nothing to change yeye kashatimiza maono yake na yasha destruct mahusiano yetu hukana kitu utafanya kufix tena.
 

Sawaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…