Ex wangu nampenda ila kampa mimba mwanamke mwingine

Nisaidie wewe Mzee humu wanao comments wengi ni vijana wa hovyo wanaoshambulia singomaza Halafu hapa wananishauri nimzalie


Focus on your life, mapenzi yapo tu, kama unasoma, soma kwa bidii, kama huna kazi anza kutafuta, Jitahidi, do something productive
 
Sawa mimi namtaka kwa shart la yeye kumuacha huyo mwingine… nipe mbinu za kupindua hiyo meza
Kwanini unalazimisha kuwa na mahusiano na mtu ambaye tayari sio wako tena na ameshatengeneza bond na mtu mwingine?

Kwani wanaume wameisha kiasi hicho?

Kwanin usikubali kuachika unabaki kung'ang'ana tu na mwanaume ambaye kwa sasa hakutaki?

Hebu tuliza mihemko, achana na mahusiano ya watu kaanzishe ya kwako.
 
Three sweeter one husband, itakua two... Mi naona kubali tu akupangishie uwe mke mdogo.. Remember nyumba ndogo ndio hupendwa zaidi
 

Hakuna sehemu nimesema kaniambia hanitaki… Ni kwamba yeye ananitaka sana tuanza upya ila suala la huyo mjamzito ndio linauma Sana

Ya kwangu nayatoa wapi wanaume wenyewe nyie bora huyo tunaejuana kindaki ndaki
 
Nenda kwa mganga wa kienyeji ukamroge uyo mwanamke. Waachane alafu wewe shika mimba umzalie uyo x wako.
 
Anataka mtoto 🀣🀣🀣
 
Sawa sasa wote tulikuwa na Miaka 23 mimi sina kazi japo yeye alikuwa nayo… kweli ningemzaliaje hapo..

Na mpango wa kuoa bado hata sasa bado hawezi kunioa kwasababu ya mambo fulani fulani kazini kwake

Nimeogopa kuwa single maza

23 Years alikua na KAZI hao ni vijana wa majeshi ya ulinzi

Mdogo ANGU niliemuachia alipata KAZI kwenye moja ya majeshi ya ulinzi, na yupo mkoa x ana miaka miwili sasa tangu aingie kazini lakini kiukweli hizi KAZI za majeshi Sijui zina laana au ni Nini UKWELI Dogo amekua Malaya ADI naogopa........πŸ™†πŸ»β€β™‚οΈπŸ˜’

Huwa najiuliza naanzia wapi kumstop aache Iyo TABIA lakini nashindwa nabaki kusema moyoni mwangu atafika WAKATI ataachana lakini hali inazidi kua mbaya πŸ™†πŸ»β€β™‚οΈ

Kumwambia Mama amuonye MTOTO wake nayo ni Ngumu

Anyway kama ni kweli kua makini na hao vijana hawana future ila kama upo imara shikilia bomba Hadi mwisho ila sio huyo t alienae wapo wengi
 
Njoo hapa kibaigwa tulizungumze hilo suala lako vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…