Exams cancelled after politician put face on papers

in Kenya tribal matters a lot ....labda useme sio mkenya ....hamjafikia kusema muna umoja bado sana tena sio leo may be 23th century
am talking as an individual...i dont care
 
What the governor did was pathetic but the ministry by cancelling the papers are behaving like village idiots
 
But always make us to know the Kenya and the people who govern as well as your country.

hahahaha unasema wenzako wajinga kisha unaandika lugha ambayo hauna ufahamu nayo, hapo nani mbumbumbu? classic case of the pot calling the kettle black.
 

Haya makenya kumbe wakati mwingine ni mapuuzi kuliko matanzania?
 
Kenyans and Tanzanians are becoming like bickering old married couples here.
 
usisahau vazi la unafiki. hapo tutafika level yenu punde tu. Heri nijue kusoma, kuandika na kuhesabu kuliko kujidaganya stara zangu na ungwana zitaniokoa kutoka njaa.
Wazee wetu hawakujua kusoma Na kuandika Lakini hatukufa njaa Mkuu.... Hao Kenyan's ambao literacy ipo juu Mbona wanakufa na njaa,tena worse than us.
 
Wazee wetu hawakujua kusoma Na kuandika Lakini hatukufa njaa Mkuu.... Hao Kenyan's ambao literacy ipo juu Mbona wanakufa na njaa,tena worse than us.
Unabweteka kenyans wanakufa njaa its actually the other way round. Hivi hauna habari nyie mna takwimu duni ya wenye njaa EA
 
Unabweteka kenyans wanakufa njaa its actually the other way round. Hivi hauna habari nyie mna takwimu duni ya wenye njaa EA
Nope Mkuu.... Tanzania hakuna mtu ambae amekufa kifo Cha kukosa Chakula.. But in Kenya Kuna watu wanakufa kwa njaa I have seen it just miaka miwili tu nyuma.. Ubinafsi umewazidi
 
Unabweteka kenyans wanakufa njaa its actually the other way round. Hivi hauna habari nyie mna takwimu duni ya wenye njaa EA
Tena Ungejua tunavuna mpaka serikali inakosa uwezo wa kukusanya mazao... Na tunalisha majirani zetu kama Nyie Kenyans, Rwanda Na Somalia bila kusahau Kongo,Tena Muwe na shukrani asee
 
Nope Mkuu.... Tanzania hakuna mtu ambae amekufa kifo Cha kukosa Chakula.. But in Kenya Kuna watu wanakufa kwa njaa I have seen it just miaka miwili tu nyuma.. Ubinafsi umewazidi
Sorry mimi nimepata habari kuwa kuna watu wala viwavi jeshi singida. Hii urojo ya Kenya watu kufa njaa ni promo za western aid agencies. Humu jf kuna nyuzi tosha kuonyesha raia wa wapi wanashinda njaa
 
Tena Ungejua tunavuna mpaka serikali inakosa uwezo wa kukusanya mazao... Na tunalisha majirani zetu kama Nyie Kenyans, Rwanda Na Somalia bila kusahau Kongo,Tena Muwe na shukrani asee
Correction. Mnauza mazao excess kwa majirani. Hamna cha kushangaza hapo. Linaitwa biashara
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] upload system got messed up! It's true though, wakenya ni wajinga wajinga..

Nimekubali mkuu, sie wajinga wakutupa. Leo Friday, hamna hamaki hapa, baada ya swalla, nachukua mirungi niingie Uhuru Gardens nianze veve mimi, hii JF inanipandisha paresha buree.
 
Nimekubali mkuu, sie wajinga wakutupa. Leo Friday, hamna hamaki hapa, baada ya swalla, nachukua mirungi niingie Uhuru Gardens nianze veve mimi, hii JF inanipandisha paresha buree.
sasa je ....ujinga haufichiki ni kama pua
 
Vile vile huku mtu yangu. Sitajisumbua na ushindi yenye haipo, pitia jf ujionee uhalisia wa mambo
hapa ndipo ugomvi unaanzia Kiswahili gani hichi ...tafadhali tumia lugha yako hii hapana kwa kweli
 
Hiv ule utafit wa vichaa Tanzania ukienda Kenya utakuaje jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…