The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Habari wapendwa!
Kuna jamaa yangu ana uhitaji kibiashara hana mtaji wa hela ila anataka gari aina ya Alphard no E iliyo katika hali nzuri kwa ajili ya wazo lake kibiashara.
YEYE:
Kiwanja 30 kwa 30
Kipo kibaha mail moja
Kina beacons tayari, kina pagale zuri hatua ya rinta, umeme na maji jirani kabisa....thamani yake 22ml (means mnaweza ongea nae)
Anataka gari aina ya ALPHARD nyeusi iwe no E. Makubaliano mtafanya baada ya kujadiliana na kuona mali husika...anauza hilo eneo shida kupata wateja haraka ndio imekuwa shida, ndio mana kawaza wazo hili sababu akiuza napo ni poah ili atafute gari..lakini mtu ataeona fursa ya Ardhi ni zaidi ya Gari basi hii imekaa poa zaidi..changamkieni.
Nicheki niwaunganishe 0652656565
Kuna jamaa yangu ana uhitaji kibiashara hana mtaji wa hela ila anataka gari aina ya Alphard no E iliyo katika hali nzuri kwa ajili ya wazo lake kibiashara.
YEYE:
Kiwanja 30 kwa 30
Kipo kibaha mail moja
Kina beacons tayari, kina pagale zuri hatua ya rinta, umeme na maji jirani kabisa....thamani yake 22ml (means mnaweza ongea nae)
Anataka gari aina ya ALPHARD nyeusi iwe no E. Makubaliano mtafanya baada ya kujadiliana na kuona mali husika...anauza hilo eneo shida kupata wateja haraka ndio imekuwa shida, ndio mana kawaza wazo hili sababu akiuza napo ni poah ili atafute gari..lakini mtu ataeona fursa ya Ardhi ni zaidi ya Gari basi hii imekaa poa zaidi..changamkieni.
Nicheki niwaunganishe 0652656565