Jamani nipo hapa kutaka kujua ni njia gani zinazotumika kutuma pesa toka ulaya. Niliiona post moja inayo husu hii maada lakini sikurizishwa na majibu.
Naombeni msaada wenu jamani.
Mimi sijui taratibu za utumaji wa hizo pesa, lakini nimeiona hiyo heading ikanifanya nifungue kuona nini kinazungumziwa kuhusu hiyo ''Change late'' sijui unamaanisha nini? Au ulikua na maana ya ''Exchange rate''. Hii itafanya hata wale wanaoweza kukusaidia washindwe kukuelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.