Exclusive: Bifu zito kati ya Diamond na Rommy Jones

Sasa we unaona sawa mwanaume kulelewa lelewa hadi boxa ununuliwe na nduguyo, najua we unaona kawaida make hata mshkaji wako kiba bado analelewa home mara alelewe kwa kidoti.... Sioni shida atalelewa na diamond hadi lini kwani ye ni tiffah
Sasa harmonize na rommy jons nani anafaa kusaidiwa we vp wewe"
 
Nani kakwambia Rommy katelekezwa? Acheni uchonganishi! Kama una ushahidi ana uza madawa weka hapa ushahidi..
Swala la romy kutelekezwa muulize mleta thread
Swala la madawa unamjua chief kiumbe tuanzie hapo"
 
Sio kweli unapoteza muda kuwachonganisha ndugu.
How nawachonganisha?! Kwa sababu ipi?! Penye ukweli uwongo hujitenga. Subiri utasikia yote soon binafsi sijafurahi ninayo yao na sina sababu hamna anaeniongezea wala kupunguza kitu kwako nasema ninachokijua kutoka huko huko kwao...na nishaona haina haja ya kuende coz hamna atakae amini...time will tell
 
Nilichosikia ni mambo ya kishirikina kua romy nyota yake imeshaisha so akiendelea kufuatana nae ni hatari so wamemuondoa kiaina na mama ndio alimwita kumwambia...siwezi mtaja alosema hayo ila mtakuja yasikia mda utafika tu
Hayo mambo ya kishirikina hata bikira wa kisukuma alishawahi kusema kwamba jamaa ni noma kipindi ommy dimples kachukua tuzo uk
 
Nilichosikia ni mambo ya kishirikina kua romy nyota yake imeshaisha so akiendelea kufuatana nae ni hatari so wamemuondoa kiaina na mama ndio alimwita kumwambia...siwezi mtaja alosema hayo ila mtakuja yasikia mda utafika tu

Mhhhhhhhh...... mabig haya
 
Swala la romy kutelekezwa muulize mleta thread
Swala la madawa unamjua chief kiumbe tuanzie hapo"
Kwa hiyo chief kuuza na D anauza? Una ushahidi lakini?
 
Nilichosikia ni mambo ya kishirikina kua romy nyota yake imeshaisha so akiendelea kufuatana nae ni hatari so wamemuondoa kiaina na mama ndio alimwita kumwambia...siwezi mtaja alosema hayo ila mtakuja yasikia mda utafika tu
Aisee hii siwezi kuamini kamwe...eti nyota imeshaisha daaa...
 
Watakuwa hawamfanyii vema rommy Jones ,rommy Jones ndo aliyekuwa clouds enzi diamond hajatoka,na akawa anarudia sana kupiga nyimbo za diamond na kuomba washikaji wapige simu za kuiomba ipate airtime ionekane diamond anapendwa,halafu Leo anamtosa?

Kuna ubaya kuandaliwa kujitegemea au labda mimi sijaelewa
 

Acha uongo ndugu! wangekuwa na bifu ommy asingempost diamond cheki hii picha daki chache zilizopita
 

Attachments

  • 1450638310367.jpg
    41.5 KB · Views: 557
Acha uongo ndugu! wangekuwa na bifu ommy asingempost diamond cheki hii picha daki chache zilizopita

Hiyo pic anazuga tu, ili kufunga watu midomo, maana watu wakiendelea kujadili mengi yatajulikana, ?a hawa ni ndugu, usishangae hata kesho D na R waka post pic wakiwa pamoja,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…