Kevin Rutashobya - Dodoma (KLHN)
Some of the MPs who had had a chance to meet with the Canadian delegation in Dodoma during breakfast and dinner meals arranged and paid by the Canadians were enraged and others puzzled why such an effort from the Canadians (especially the presence of the Ambassador) except if the changes were to benefit the country and bring new standards, laws and regulations in the mining sector.
A Canadian source who spoke to KLHN on conditions of anonymity because she was not authorized to speak on the matter told KLHN that the Ambassador and her delegation are returning to Dar-es-Salaam ASAP where she is expected to issue a statement on the matter probably sometimes on Friday.
KLH News International inatuambia kwamba Wabunge wamekunywa chai na kupata mlo wa jioni wa ma lobbyist wa Kikanada huku wamekasirika!
Haya. Kwanza hapo mtu kama mimi naanza kugutukia Wabunge na anaeripoti. Nasogeza macho kwenye screen ya Laptop kusoma kwa makini.
Ukifika mwisho huoni mahala panaonyesha kwamba kuondoka Dodoma kwa Wakanada sio kurudi kwa kawaida nyumbani anakoishi. Tunaahidiwa statement ya Ubalozi. Lakini hatujui ni statement ya aina gani inakuja. Na anae ahidi statement ni "Chanzo cha Kikanada," kisicho na mamlaka ya kuongelea. Lakini kimetoa siri. Siri kuhusu kushindwa kwao U-Lobby!
Labda tungesubiri statement kabla hatujafikiria kuanza chereko chereko.
Wengi wetu tuliopata bahati ya kuishi kwenye U-lobbying uliobobea,tunajua kwamba huvunji kifuniko cha champagne kushangilia kushindwa kwa lobbyist kabla sheria kupitishwa ambayo haina zile provisions walizokuwa wanataka ma lobbyist.
Balozi wa Kanada hakai Dodoma. Labda asingeweza kubaki Dodoma anatoa milo na chai mpaka mwisho wa Bunge. Inawezekana alikuwa ana ajenda na bajeti ya kutoa vikombe na sahani kadhaa kwa walengwa kadhaa katika muda wa siku kadhaa, kabla ya kurudi kwake Dar-es-salaam. Kama ambavyo amefanya.
Inawezekana hii stori imewahi mno.
Here is my bet: Kwenye hiyo statement itakayokuja, ma lobbyist wa Kanada watasema wanaisihi Serikali ifanye vile wanavyotaka Wakanada, na wataweka spin yao zaidi. Kwa maneno mengine, lobbying itaendelea. Na mechi bado hata haijaanza Bungeni, achilia mbali kuisha.
Kwa hiyo, siyo tu kwamba sija break out the champagne yet, but I will hold off on buying a bottle at all.
KLH News imeleta habari bila qualifications. Bila compelling support. Tunaweza kuja kukuta hii reporting imewahi mno.
Nikiambiwa nichague kati ya mkataba mbaya wa madini na press mbaya nitachagua mkataba mbaya. Kwa sababu press nzuri siku za mbele ita expose, itazuia, mkataba mbaya. Ndio maana sioni shida kusema aliyeleta habari inayowezekana imepinda kuhusu mikataba iliyopinda nae inawezekana amepinda.
Nasubiri. Siiiti majina hii reporting. Bado.