pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Acha blah blah wanahabari wa Tz bado saaana! Ndio maana mada zote mnazozieka hapa chanzo huwa ni media za kenya.Eish...., nimegusa kidonda. Inaoneka na wewe ni mdau wa hii tasnia ya habari. Tanzina kuna wanahabari wa kila aina, ukitaka wa serious stuff utawapata, ukitaka wa udaku utawapata. Kenya mnalishana mafake news kila upande ndio maana mnajioma mko mbali lakini ni debe tupu.