Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

Kwani na Tanzania Kwetu hii ' Kitu ' ipo?
now I get you.......
ile miili 8 ilokutwa kwe viroba ilkua ya nan?
na ile miili 16 ilokutwa zenji ilkua ya nan?
ben sa8 yuko wap?
Chacha Wangwe yuko ap?
alphonce MAwazo yuko ap?



nyie na mabwana zako endeleeni kujipa moyo tuu
ila Kenyatta anashinda tena ili mfunge kabisa mipaka yote kwa akili zenu za kushikiwa
 
Siishi kwa hisia bali naishi kwa uhalisia na usinilazimishe nikubaliane na unachokiamini Wewe tafadhali.
Ujalazimishwa kaka.. nilitaka tu ufahamu uwezo wa wahenga kufahamu kitu kitakachotokea baadae sana.. najua wewe hata ukiambiwa Yesu atarudi tena huwezi kuelewa pamoja na dalili zilizoainishwa kwenye vitabu vya dini kwamba mwisho wa dunia unakaribia.. utaamini ikishatokea kwa kuwa umejaaliwa na ubongo wa kuona hatua kumi tu mbele yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kunguni Jike kumbe bado upo tu?
 

Nimegundua kuna Watu humu JF huwa mnapenda kuanzisha ligi / ubishani na GENTAMYCINE ili tu mjulikane haraka na Members wengine. Haya Mkuu usijali kwa haya mabishano yako machache tu na Mr ' Purely Talented and Charismatic ' GENTAMYCINE naamini mpaka sasa umeshajulikana na nusu ya Members wote wa JamiiForums.

Kuna kingine tena labda ambacho ulikuwa unahitaji kifanyike ili nyota yangu kali ya GENTAMYCINE izidi kukupaisha humu jamvini?
 

Nimegundua kuna Watu humu JF huwa mnapenda kuanzisha ligi / ubishani na GENTAMYCINE ili tu mjulikane haraka na Members wengine. Haya Mkuu usijali kwa haya mabishano yako machache tu na Mr ' Purely Talented and Charismatic ' GENTAMYCINE naamini mpaka sasa umeshajulikana na nusu ya Members wote wa JamiiForums.

Kuna kingine tena labda ambacho ulikuwa unahitaji kifanyike ili nyota yangu kali ya GENTAMYCINE izidi kukupaisha humu jamvini?
 
Uzi wako mkuu nimeusoma vizuri ila kama we umepewa nyapia nyapia, Jana ilikuwa inarushwa STV ile ya wasomali kwa kirefu sema nami nawaacha kila MTU ajadili kimoyo moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka ukiweka page ya kutafuta nani maarufu kati ya GENTAMYCINE na BLACK CHINESE nitakuacha mbali kaka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu gentamycine yuko hapa kufanya propaganda kwa ajili ya RO
Hawa ndo Wale wa kuitwa spindoctors
ni wakupuuzwa hawa!!
ila naona amekamata wengi
 
Lol, wewe hujui kama vyama vya upinzani kulalamikia kuibiwa kura ni jambo la kawaida Afrika, kwahiyo sio sababu ya wewe kuwahusisha kisa tu walalamikia uibwaji wa kura, no way.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka ukiweka page ya kutafuta nani maarufu kati ya GENTAMYCINE na BLACK CHINESE nitakuacha mbali kaka..

Sent using Jamii Forums mobile app

Wenye kujua ukweli watasaidia kukujibu ila ninachojua tu ni kwamba una safari ndefu sana ya kuweza kuufikia umaarufu wa Kutukuka wa GENTAMYCINE hapa JamiiForums na nadhani ungefikia tu hata robo ya umaarufu wangu ungetapa sana ila bahati mbaya sana ni kwamba Mimi na Wewe ni sawasawa na kutaka kumfananisha Lionel Messi ( GENTAMYCINE ) wa FC Barcelona ya Spain na Juma Makapu ( black chinese ) wa Yanga FC ya Tanzania.
 
Huyu gentamycine yuko hapa kufanya propaganda kwa ajili ya RO
Hawa ndo Wale wa kuitwa spindoctors
ni wakupuuzwa hawa!!
ila naona amekamata wengi

Nyota yangu ni Kali sana Mkuu na lolote nitakalolifanya humu hata liwe la Kipuuzi vipi bado litakubalika tu sasa fanya / jaribu Wewe uone kama Watu ( Members ) hawajakusahau kabisa. Kabla ya kutaka kushindana / kupambana na Mimi yakupasa uielewe mno JF Signature yangu isemayo ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
 
You must be under 20..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Needs thorough soul searching! Are they so grieved by the poverty, poor health and education that they would kill in order to lead? Just sadly thinking out loud....
 
Needs thorough soul searching! Are they so grieved by the poverty, poor health and education that they would kill in order to lead? Just sadly thinking out loud....

Mkuu hivi kweli Ndugu zangu wa kule Uzanakini Mkoani Mara na Umakuani Mkoani Mtwara watakuelewa na hii lugha yako ya Malkia Elizabeth wa Uingereza?

Nakipenda sana Kiswahili changu / chetu.
 
kubwa jinga linachekelea kukamata wajinga wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…