xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,302
- 5,379
now I get you.......Kwani na Tanzania Kwetu hii ' Kitu ' ipo?
ile miili 8 ilokutwa kwe viroba ilkua ya nan?
na ile miili 16 ilokutwa zenji ilkua ya nan?
ben sa8 yuko wap?
Chacha Wangwe yuko ap?
alphonce MAwazo yuko ap?
nyie na mabwana zako endeleeni kujipa moyo tuu
ila Kenyatta anashinda tena ili mfunge kabisa mipaka yote kwa akili zenu za kushikiwa