Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

hizi ni propaganda za kutafta uungwaji mkono kwa R. O nothing new
na zmetoka kwa anaemuunga r o kutoka tz
 
Alichofanya Msando nikama alivyofanya Jecha znz, tofautiyao Msando alikuwa upande wa haki na Jecha alikuwa upande wa batili
 
Nimeamini mapenzi ni upofu,jamani kumbe alikuwa na kabinti kwa 21 yrs old.Cha kusikitisha yule binti ni mkikuyu na wana almost months since wameanza kudate.Naona alikuwa player sana ndo maana kategeka kirahisi mno.Jamani na akili zote za kuwa IT engneer ila hakuweza kabisa kujikinga na penzi la mkikuyu Carol shafir Ngumbu.Jamani Wanaume nanyi mjifunze,michepuko ni kutafuta kifo tu.Angetulia na mkewe haya yasingemkuta.
 
acha uwongo wewe lini msemaji wa kdf alsema wanaratibu wizi wa kura?
anyway endelea kupotosha wajinga wasofatilia siasa za Kenya
by the way wa tz hawata piga kura kenya
keep it .........'your propaganda won't work out
 
Jubilee ndio wahusika huhitaji akili kubwa kujua,wao kdf,police wote wko chini yao angekua mtu muhimu kwao wangetoa ulinzi b4 hata vitisho,hata msemaji wa KDF kauawa na watawala.madaraka yanalindwa kwa gharama ya kutoa uhai wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jawani, jamani, ...majirani zetu wanahitaji kuombwewa maana wanakoelekea sasa ni mashaka matupu!
Haya hapa mengine...

View attachment 555255
Majirani zetu hawahitani maombi ya watu wanafiki kama Watanzania. Hamkuwahi kuona Wakirigenzi wakifukuzwa kazi kisa kukataa kumtangaza mbunge wa ccm na kutenda haki kwa aliyeshinda? Hayo maombi yako yatafaa nini?

Uchaguzi wa znz kufutwa kinyemela hili nalo mlilikemea kwa damu zenu? Wenzenu Kenya wanaweza kumwaga damu zao kutetea haki zao, nyie mnaweza kumwaga mashuzi kutetea matumbo yenu.

Uhuru fanya kila linalowezekana wapinzani wasishike madaraka kama ambavyo huku kwetu inafanyika waziwazi. Tufanane kila kitu na tuone uswahiba hauwezi kulazimisha mambo nchi ya wengine.

Udukuzi sio lazima uwe wakidigital, hata kubadilisha katiba za vyama ili uwe mgombea wa pekee huo pia ni udukuzi, huu ni analogia.

UK piga kazi
 
Hawataki influence ya Tanzania kwenye nchi yao. Waendelee kfyeka kila atakaeleta fyokofyoko
 
Hawataki influence ya Tanzania kwenye nchi yao. Waendelee kfyeka kila atakaeleta fyokofyoko
 
Nikama siasa za Jecha kufuta uchaguzi ilhali yeye hana mamlaka hayo kisheria.
 
Naskia Raila anataka proffesional IT atoke Uingereza kukaimu nafasi ya Msando....

Najiuliza hawa wazungu hatakuwa na interest zao wakamweka atakaye kuja kuangalia maslai yao?...
Hata huyo mzungu atakatwa mikono tu. UK piga kazi
 
The late Carol was to graduate in December, the mother says. PHOTO | COURTESY | FACEBOOK
“This is not something that could have happened to my daughter because she is such a good person.”
Carol’s sister Jedida Wanjiku said they last talked on phone at around 7pm, when she (Carol) told her she was going to have a few drinks with Mr Msando.
Carol said she would be home after the drink date, Jedida said.
Carol and Mr Msando, the sister said, had been friends for months.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…