Exclusive interview: Diamond na Vanessa Mdee baada ya kupata tuzo

Hilo tatizo la directors wa kibongo ni ugonjwa wa wabongo wengi sana.
Hata mama muuza chapati akiona anapata wateja wengi huwa haonyeshi kujali wateja mpaka pale wateja watakapoanza kumkimbia.

Umeonaeee
 
Ndo maana watu wanasema ukileta ushikaji kwenye kazi kazi haifanyiki ukileta undugu kwenye biashara unafilisika safi sana diamond kwa misimamo yako utafika mbali

Well said, hapo bila ushabik diamond kaongea fact, na hz production bomu za kbongo ndo znachangia kuua huu mziki, acha kaka mond afanye yake anayejua maana ya tym management huwa hana muda wa kuipoteza hta dk1
 
Nafikiri imeshaanza kuchezwa na uko




Hiyo ya MTV Base ni wimbo wa Shetta aliomshirikisha Diamond. Iko namba 6 wiki hii.
Bum Bum ilipigwa Trace kabla haijapigwa huku, ila haijaingia kwenye chart.

Ila kwa kukusaidia STV Music sio channel kubwa kama ulivyotaka watu waamini hapa.
 
Hongera,penye mafanikio lazima wsnafiki wawepo
 
Diamond namkubali sababu nimkweli na anasimamia humohumo..waTZ Tukiacha chuki kwa wenyekupiga hatua kuyaelekea maendeleo tutafika mbalisana..

Ni moja kati ya wasanii wachache wanaosema ukweli. Hafichi kama kakulia tandale na hamfichi mama yake mzazi! Kiukweli hata anaposema anajituma kwa kuwa hataki kurudi kwenye maisha ya dhiki aliyoishi utotoni hilo ni somo kwa wenzake. Pamoja na yote aniboa sehemu moja tu,anatangaza kwa mbwembwe mallaya aliotembea nao!..ummalaya sio sifa hata kidogo!
 
Fanya kazi diamond mungu atakubaliki kijana wewe ndo I cone wa Tanzania for now najua wanakuponda but Simu zao zimejaa nyimbo zako Wabongo wengi no wanafiki hata A.Y alishasema.. Jitahidi utoke na nje ya Afrika..jitahidi na wewe uwashilikishe Kwa sana.. God be with you..
 
Fanya kazi kijana achana na hao madirector viazi hela yako mwenyewe halafu unyanyasike we songa mbele watapika majungu wee siku wakiyapakua we haupo hapo tena wanakuona diamond yuleeeee
 
Kiukweli huyu jamaa anajitahidi sana kuanzia kuimba na hapa performances zake jukwaani! Amesema ma-director wa kibongo ni bomu, japo pia video za kibongo quality pia ni nzuri lakini mimi hapa nakataa, video nyingi alizofanyia nje zina quality nzuri sana! Hii iwe changamoto tu kwa video producers pamoja na ma-director wa kibongo bongo!
 
Hongera sana kaza buti achana na haya maneno ya walio shindwa wasije wakakufanya nawe ushindwe
 
I wish diamond afanikiwe zaidi na wote wanaojituma kama yeye. Japo sitapata faida yoyote zaidi ya burudani kutokana na nymbo zake. Goodluck mtt wa Tandale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…