EXCLUSIVE INTERVIEW: Nguvu ya pesa katika mapenzi ya kweli...

kiwatengu heshima yako mkuu...

Nlikuwa mbali na mjadala sasa hiv naangalia recoded tuu...Vip kuna nafasi ya members kuuliza maswali?


Hongera le cute b
atoto upo?
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu jf naomba nisikujibu.. hapana sijakutana navyo..
Root, huku kuna mkeka unataka kuchanika huku.

Hii interview naomba mods waidelete isibaki kwenye records.
 
Last edited by a moderator:
Root, huku kuna mkeka unataka kuchanika huku.

Hii interview naomba mods waidelete isibaki kwenye records.

Sasa kwanini umemwita root eneo kama hili? Utaharibu biashara jaman mshengq
 
Last edited by a moderator:
Nikiacha utaanza kunibembeleza huku unalia, hebu ngoja kwanza.

Sasa mbona haiendelei? Au mnasubiri umeme ukatike huku?

ha ha ha....ina muda maalumu...
cute b leo hii kitu iishe.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha....ina muda maalumu...
cute b leo hii kitu iishe.

Mkuu naweza kukutumia maswali PM?

Au niulize hapa hapa tu, maana naona interview yako imechukua muda kama wa kampeni na wajumbe tumenyimwa nafasi.
cute b nitumie maswali ya kukuuliza nisije nikakuuliza swali ambalo hujajipanga kujibu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…