Mkuu naweza kukutumia maswali PM?
Au niulize hapa hapa tu, maana naona interview yako imechukua muda kama wa kampeni na wajumbe tumenyimwa nafasi.
cute b nitumie maswali ya kukuuliza nisije nikakuuliza swali ambalo hujajipanga kujibu.
ha ha ha....ina muda maalumu...
cute b leo hii kitu iishe.
Mkuu mbona tunachomeshana mahindi jamani?
Yaweza kuwa mkombozi wako kama una moyo wa dhati kufanikiwa
Click hii link hapa chini
Job4Living.com Earn 5$-10$ per 30 seconds tasks, Earn 1000$ monthly - Online Job for jobless people
kiwatengu hii interview haiendelei?Hot hot interview!!
Mada ni hiyo tajwa hapo juu, ni topic maarufu sana. Na ishajadiliwa hapa mara kazaa, not bad kama tutairudia...
Mgeni ni cute b
Host : kiwatengu.
Muwe kimya kidogo na kama utamind fuatilia...mwishoni nitaruhusu maswali kutoka kwenu...
Karibuni!!
Unashangaa nini?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ilishaisha!
Zamu yako sasa hiviUnashangaa nini?
Ianzishe upya maana haikuendelea
Kuna malipo?Ilishaisha!
Maswali yaliisha.
kiwatengu naomba umwandalie sumbai interview.
Siku hizi haufanyi interview kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Upendo wa mwanaume kwake (hata kama ni wa uongo unaofanania ukweli)
2.MATUNZO (mwanaume aweze msaidia mpenzi wake anapopata tatizo)
Hivyi viwili ndio vikubwa ambavyo ni rahisi sana mwanaume kumteka navyo mwanamke akakupenda kweli