Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

Pdidy unafanya makusudi muandiko au? Acha Utani!
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu wangu alkmbiwa kwa style hiohio hadi sasa huu mwaka wa 16 ;-) ,mke wake hajarudi huwa tunamuona fb tu!!!!!,wanawake noma
 

Hapa nimekuelewa sana tena sana...tatizo lilikuwa kwa jide siyo kwa gadna...
 
Mwalimu wangu alkmbiwa kwa style hiohio hadi sasa huu mwaka wa 16 ;-) ,mke wake hajarudi huwa tunamuona fb tu!!!!!,wanawake noma

Mwalimu wako alimfanya nini mke wake... lazima kuna sababu
 
mwanaume kuachwa na mke wako wa ndoa ni aibu na udhaifu mkubwa. Pole sana captain nafikir sasa ujiite mvuvi tu.
 

Jamani hivi hata zile punctuation marks tulizofundishwa shule ya msingi tumezisahau? Uandishi gani huu? Hakuna nukta, space,mkato
 
kaka rudi shule kwanza mbona hujui kuandika?unatupa shida sana kusoma uandishi wako@@@##$$/!!!
wakati serikali ikipunguzaikipunguza bei za mafuta na umeme wanatakiwa wapunguze nabei zq juice ya alovera na vitunguusaumu !!!!borakunyimwa umeme kuliko booster za ufahamu!!wenzio walikunywa utotoni we ulinyweshwa ukubwani. Alovera tenabaada ya mzazio kufwatwa nawalemabinti wa alivera ofisini else usingeweza hatakujibu kitu jf
 
Jamani hivi hata zile punctuation marks tulizofundishwa shule ya msingi tumezisahau? Uandishi gani huu? Hakuna nukta, space,mkato
Ujasoma fill in the blanks???au ndionyie mnajaza johnceener
 
Mimi ni shabiki wa Jide, lakini sikubaliani na uamzi kuanika mapungufu ya x wake kwenye mitandao ya kijamii.

Mbona mara ya kwanza walianza vizuri kwa kufichiana mapungufu.

Ilikua ukimuuliza Jide anakwambia kamuulize G, G nae anakujibu kamuulize Jide.

Binafsi naamini Jide anamaumivi na msongo wa mawazo juu hili sakata.

Naamini Gadner na yeye anamaovu ya Jide kiasi akiamua kuyaweka hadharani watu tutaachwa midomo wazi.

Busara zitumike kwenye hili sakata G asilipe kisas kwa kumwaga maovu ya Jide.
 

dah nimekuelewa sana mkuu, kweli hatujui kesho yetu.... Ila kuna wakati x wako ndo anakuchunia kabisa so inakua hamna jinsi zaidi ya wew pia kuuchuna ila I don prefer that
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…