Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

dah nimekuelewa sana mkuu, kweli hatujui kesho yetu.... Ila kuna wakati x wako ndo anakuchunia kabisa so inakua hamna jinsi zaidi ya wew pia kuuchuna ila I don prefer that
Junior Your SN frmTpday
 

P didy achana nao wanakuzingua
 
nadhani mleta mada aliruka darasa la kwanza na darasa la pili, huenda huu ukawa ni uandishi mbovu zaidi humu jf toka mwaka huu uanze.
i connect u to the spirit of knowledge/understanding in jesus name
 

Huo mstari hapo kama ni wako au wa gazeti la Mwananchi una makosa kidogo, Marijani Shabani hakuwa mwanamuziki bali Mwalimu wa Soka(mpira wamiguu).Mwanamuziki ni Marijani Rajabu.
 

Sijaelewa kitu hapo kwenye red, inabidi ifikie kipindi mtu ataje elimu yake ndo aanze kuandika hoja yake..
 
ina mana ni kweli wameachana hafadhari, cause me love Jide long long time sasa ni nafasi yangu
 
Nmesoma thread yako mpaka mwisho sijaelewa unazungumzia nn,najutia kupoteza muda kusoma pumba kama yako mkuu sijui umelewa au unaota,duh lavuzi ya kikongo
 

Yale yale.
 

Get ur fact right.G alikua ameachana na mkewe before hajawa na JD.mkewe walikua wanaishi mwanza akaachana nae akawa marioo wa yule mama mke wa mzungu.ndo alie mleta Dar.then akawa clouds akakutana na F then Jd.iyo ya kusema kamnyanganya mtu mume ni uzushi.walikua washaachana.Bora F angelaamika ingekua reasonable
 

upo wewe?
 
Mkuu inabidi tujisearch mioyo yetu,wife akitoka sasa ni mtetemeko wa roho mwanzo mwisho ,siku akirudi hiyo rukaruka yako yeye atadhani kwa kuwa umemmiss kumbe unafurahi hajaaga jumla!itabidi misafara yake aongozane na kiwifi chake tu kama kiko free kiwe kina ni update safari nzima lo!
 
Pdidy unaunganisha sana maneno tunapata shida wasomaji
 
Last edited by a moderator:
Nadhani mleta mada aliruka darasa la kwanza na darasa la pili, huenda huu ukawa ni uandishi mbovu zaidi humu JF toka mwaka huu uanze.

Ndio maana Lisu kasema hampeleki mwanae kwenye hizo shule ngo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…