Get ur fact right.G alikua ameachana na mkewe before hajawa na JD.mkewe walikua wanaishi mwanza akaachana nae akawa marioo wa yule mama mke wa mzungu.ndo alie mleta Dar.then akawa clouds akakutana na F then Jd.iyo ya kusema kamnyanganya mtu mume ni uzushi.walikua washaachana.Bora F angelaamika ingekua reasonable
Unajua jide alicho kuwa anafanya sio kipya kabisa 60% ya maisha ya ndoa yamejaa unafiki tuu...watu wanaumia hawana jinsi inabidi waendelee kunyamaza na kubaki kwenye moto..hadi wanapo karibia kutokwa roho ndio wana kimbia!
Usione watu wanacheka kumbe ni unafiki tupu na sanaa!
Kuna mada moja alileta lara 1 ilisema-ndoa ni taasisi iliyo jaaa unafiki wa hali ya juu watu waliwaka sana! Lakini mimi niliilewa sana tena na huo ulio ulikuwa ukweli..nadhani ushahidi wa mada hile unaanza kupatikana ..
Kama ujui kuigiza na kuwa mnafiki sidhani kama unaweza kudumu kwenye ndoa hasa za kiafrika ambazo kifo ndio hutenganisha ndoa!
Kama uwezi kuwa mnafiki au kuigiza usijiingize kwenye ndoa kabisa maana baada ya mwaka itavunjika!
Get ur fact right.G alikua ameachana na mkewe before hajawa na JD.mkewe walikua wanaishi mwanza akaachana nae akawa marioo wa yule mama mke wa mzungu.ndo alie mleta Dar.then akawa clouds akakutana na F then Jd.iyo ya kusema kamnyanganya mtu mume ni uzushi.walikua washaachana.Bora F angelaamika ingekua reasonable
She is ugly too.loyalty muhimu mnooooo.I handle my problems ( if you can't handle your sexual problem you need a counsellor)
Aiseee basi mimi hio taasisi hainifai kabisa
mwanaume kuachwa na mke wako wa ndoa ni aibu na udhaifu mkubwa. Pole sana captain nafikir sasa ujiite mvuvi tu.
Haaaaaaaaaaa ngoja nikacheki mwenyewe..... amjibu tuone another side ya stori though swala la ukitombi inajulikana tu ni kitombi....
Namvumilia kwani ananihusu nini?nimemuona 3 times live to be honest she is ugly tena anabahati alipata mtuYaani wewe inaonekana na wewe ulivumilia miaka mingi kusema haya kwamba she's ugly????
Akaa siitaji ndoa mm adi nitimize miaka 26 ndio ntafikilia kuolewa
Yaani walioko ndani wanataka kutoka.., tulioko nje tunataka kuingia..
uko sahihi na cyn6 G ni mhuni wa asili na ndoa ya jide na eda ilianza kuyumba b4 mahusiano na jide
sema zigo la nnya likamganda jide
buy hobestly g ni kcheche
Na mm hapo nimemzungumzia F pia jinsi alivyopelekeshwa na jide...again nikuulize na wewe je waweza kubali olewa na mwanaume ambae unajua weakness yake ni cheating????
kumbe una umri mzuri tuu, nasubiria huo umri
nipo seriousHahahaaaa
nipo serious
Get ur fact right.G alikua ameachana na mkewe before hajawa na JD.mkewe walikua wanaishi mwanza akaachana nae akawa marioo wa yule mama mke wa mzungu.ndo alie mleta Dar.then akawa clouds akakutana na F then Jd.iyo ya kusema kamnyanganya mtu mume ni uzushi.walikua washaachana.Bora F angelaamika ingekua reasonable