Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake


Haaaaaaaaaaa ngoja nikacheki mwenyewe..... amjibu tuone another side ya stori though swala la ukitombi inajulikana tu ni kitombi....
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na yote mabaya ya Gardner aliyoyaeleza Jide, hili suala la kupiga mwanamke ni la kishamba sana! Sikuwa nimefikiri kwamba mpaka leo hii mjini kuna mwanaume anapiga mwanamke aisee!!!! Kumbe jamaa ni mshamba hivyo?!!!

Wewe umeamua kuamini tu kuwa ni kweli Gardner alikuwa akimpiga huyo mwanamke?

Hujawaza hata kidogo huenda labda huyo mwanamke kwa sababu za kinyongo anataka tu kumchafua Gardner kwa kumpaka matope?

Kuna ushahidi gani kuwa kweli Gardner alikuwa akimpiga? Kuna taarifa za polisi?

Yeye huyo mwanamke hakuwahi kumpiga Gardner?

Na la muhimu zaidi ni kwamba hii habari haina uwiano mzuri kwa sababu ni ya upande mmoja tu.

Hivyo si vyema kurukia kuhitimisha kuwa Gardner ni mtu mbaya au sijui ni mshamba wakati bado hatujasikia maelezo ya upande wake.

Au naye keshaongea tayari?
 
Makubwa,naona movie ndio inaanza. Gadner anyamaze tu ni utoto kuanza kutoleana siri za ndani. Unajua wanawake ndio wanapenda kuropoka ovyo bali wanaume si watu wa kuongea ovyo.
 
Makubwa,naona movie ndio inaanza. Gadner anyamaze tu ni utoto kuanza kutoleana siri za ndani. Unajua wanawake ndio wanapenda kuropoka ovyo bali wanaume si watu wa kuongea ovyo.

Kwa nini anyamaze tu ilhali kuna watu wanaamini kabisa alichokiongea huyo mwanamke kuwa ndo ukweli wenyewe wakati huenda si kila kitu alichokisema ni cha kweli?
 
Pamoja na yote mabaya ya Gardner aliyoyaeleza Jide, hili suala la kupiga mwanamke ni la kishamba sana! Sikuwa nimefikiri kwamba mpaka leo hii mjini kuna mwanaume anapiga mwanamke aisee!!!! Kumbe jamaa ni mshamba hivyo?!!!

Kaka..wanaopiga wapenzi wao ni wengi. ..wasomi kwa mbumbumbu....wa mjini na wa kijijini. .yaani ni tabu tupu
 
Shkamoo zake Jide...hv hata ile Siwema alimwimbia Gadna nini 😷😷😷
 

mimi sioni tija ya hawa jamaa kujibzana mtandaon,kama wameachacha au kama mmoja kaachwa basi kila mtu amtake mwenzake heri masha yaendelee,
 
Haaaaa my dear leo umechapia sehem nyingi kuandika Lols..

Kuna the other side of story kutoka kwa G.. maana hauwezi kusema Jay D ni saint kabisa katika ndoa na Gardner ndio mbaya completely.... so we are missing another side of the coin

yani shoga angu nmesoma hii habari nikaona nisptwe, sasa nlikua naandka huku namlsha bebi, mimi nadhani its not right kwa jide kuanika mapungufu ya ndoa yao hadharani, kama wameachana basi angekaa kimya maisha yaendelee
 

Yaani wewe bado huelewi maybe ukicalm down...kwa akili yako unadhani jide hakuzijua tabia za G???? Yet she forced it...kiufupi my point ipoo hivi,jide aliuficha moto kwa kuukalia akitegemea nguo hazitoungua,zimeungua ndio anakimbilia sympathy ya kijinga kama hio....
Mwisho nikuulize ewee Dada,unaweza mkubali mwanaume ambae ameoa akadai atamwacha mkewe ili akuoe wewe????
 
Na kule kwa mke wa kwanza kilimtoa nini? Mbona yule alizaa na akamuacha?
Kifupi ni kunguru asiyeweza kufugwa!

Lakini bado akadhani anaweza kumfuga....yaani bado hupati kitu hapo????
 

Ya Jide unayajua?? yeye kama kamuacha mbona ndio anarudi kulilalia mitandaoni, ye si alikuwa right kwa kila kitu unatua mzigo lakini bado mzigo unakusumbua lazima kuna tatizo.
 

Asante mdau...
Watu hapa kwa kuwa wanajua mapungufu ya G basi ndo wamegeuka mahakama....
Kuyajua mapungufu ya G na kutoyafahamu ya jide hakutakiwi kuwapa sababu ya kuelemea upande mmoja.
 
Ya Jide unayajua?? yeye kama kamuacha mbona ndio anarudi kulilalia mitandaoni, ye si alikuwa right kwa kila kitu unatua mzigo lakini bado mzigo unakusumbua lazima kuna tatizo.

Yaani wengi bado hawastuki sijui kwann...
 

sorry hyo fauza ndyo yule wa sugu? halafu niliskiaga frank gonga ana skendo ya ukameruni ni kweli????//////
 
Jide & Flora Mbasha!!

v/s

Gardner & Emmanuel Mbasha!!
 
sorry hyo fauza ndyo yule wa sugu? halafu niliskiaga frank gonga ana skendo ya ukameruni ni kweli????//////

Hapana sio wa Sugu ni Fauzia mwingine kabisa..

Hizo za Gonga kuwa shoga ndio nazisikia kwako... so sina ninalolijua hapo
 
VERY HARD LOOKING.Ana bahati alimpata mtu wakumwangalia sura Yake kila siku na kumdanganya " your beautiful".ana sura ya binti chura
 
VERY HARD LOOKING.Ana bahati alimpata mtu wakumwangalia sura Yake kila siku na kumdanganya " your beautiful".ana sura ya binti chura

Sasa wewe umemchoka komando wetu mkuu???
 
Sasa wewe umemchoka komando wetu mkuu???
Nivizuri kusema ukweli jAYDE anasura mbaya na mwanaume yoyote atakaempata atakuwa analiwa pesa zake.wanaume wakitanzania wanavyopenda wanawake wazuri .sura Yake Kama WASHAWASHA
 
Sioni cha ajabu sana alichofanya G ambacho wanaume wengine hatufanyi au wazee wetu hawakufanya lakini maisha yanaendelea.

Kama namuona vile commando.

Kumbe mnajijua na mnafanyaga kusudi eeh...?
Bora yeye kaondoka, wanawake wengine wakichoka vituko wanaamua moja tu.
Fanya vurugu zako, siku akichoka unapelekwa kwenye nyumba ya milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…