Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i'm fine my dia.....viubize fulan tu amaizing!!!!Kumbe...nilikua sijui
Long time dear... are u gud
mimi nipo hapa mlangoni kwako, ndani sipo, nje sipo! Just a joke!
Yaani walioko ndani wanataka kutoka.., tulioko nje tunataka kuingia..
Yaan mi nikifikiliaga hadi nataman nisiolewe
Yaan mi nikifikiliaga hadi nataman nisiolewe
Usiogope ndoa tamu sana
Natangaza Ndoa kwako
Akaa siitaji ndoa mm adi nitimize miaka 26 ndio ntafikilia kuolewa
Jide hongera kwa hilo just move on hakuna kupepesa macho kabisa Mara zote wanaume tunaanza wao wanamaliza
Yaani maisha haya bhana....Leo hiii Jide ndio anaonekana victim na G ndo anabeba zigo lote la unyama na ufedhuli...
Lakini Jide huyu huyu ndo aliempoka mwanamke mwenzake mume na kejeli na dharau nyingi sana....haya yote yamesahaulika....au ndio kusema ya kale hayatoi harufu????
Jide kavuna alichopanda tena ashukuru mbegu aliyopanda imekawia sana kuota(au alikua akiikawiza).
What goes around..............
Kama umefika 18 we mkubwa pengine mi ndio chaguo Lako la mAisha nifikiriee