Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

Matokeo ya kutumia pesa kupata wanaume ndo haya. Gadna roho yake ilikuwa kwa Fauzia, secretary wa
Joseph Kusaga. Gadna pale alikuwa kafa kaoza and it was real love sababu Gadna hakuwa na kitu na
Fauzia alikuwa kasecretary tu.

Akaja Jide na mihela yake pakawa hapakaliki. Gadna akamwacha Fauzia akaenda kwa jide coz of money but
after few months akaona hawezi ishi bila Fauzia akarudi tena kwa Fauzia
wakaendelea na mapenzi yao ya kimaskini.

After few months akaona mapenzi bila hela sio matamu sana akaona bora aende kwenye hela akarudi tena kwa Jide.

Hapa naongelea around 2002 hivi jamani.
Clouds fm palikuwa hapakaliki ni machozi na ngumi tu. Jide alikuwa akimuona Gadna na fauzia analia mpaka kamasi zinamtoka tena mbele
za watu na akipata mwanya
anamrukia Fauzia anamchapa kama kamzaa kisa Gadna.

Gadna alikuwa anashindwa kuwa na uamuzi maana
one side kuna pesa, the other side ndo roho yake ilipo. Kuna siku nakumbuka enzi za Blue palms Jide alimkuta Gadna na Fauzi hapo, Gadna akawa anajifanya kama hamuoni Jide
vile yupo busy na malovey dovey na Fauzia. Jide aliangua kilio mbele za watu kama kafiwa tena kipindi hiko ndio video ya machozi aliyo act
Frank Gonga imetoka.
akawa anamtuliza Jide asianzishe vagi, for some reason Jide akamsilikiza Frank sababu ni Mkurya mwenzie. Jide kateseka na Gadna
even before ndoa,

toka wanadate ilikuwa ni relationship ya mateso ila
aliamua kung’ang’ana na kumuhonga Gadna. Like always, in the end money
won and Gadna married JIDE.
Problem is he never fell in love with her alikuwa pale kimaslahi na alikuwa anawaambia watu hana stimu kabisa na Jide ndo maana alikuwa anatia tia nje kila siku.


Lesson to learn today: money cant buy you love. Happy Valentines wana Jf

H.O.E this is pathetic n so sad...! Imenifanya nikumbuke nyimbo za Alicious ft Juliana MPITA NJIA hasa ule ubeti usemao 'mwizi wa mapenzi Asante yake mateke kwako hatakaa milele na ule wa Phill Collins nafikiri DON'T FALL IN LOVE WITH A DREAMER
 
Ninachompendea Jide ni misimamo yake, na uwezo wake wa kumanage maisha binafsi yasiingiliane na maisha ya usanii. Pamoja na matatizo aliyokuwa nayo kwenye ndoa, bado kaweza kuhimili kwenye muziki bila kutetereka.
 
Niliangalia kipindi cha mkasi alivyokuwa akihojiwa salama alijaribu sana kumchimba G ..lakini ..G hakukubali kabisa kuongelea hii issue .. jibu lake lilikuwa maswala ya jayde muiteni mumuulize mwenyewe. ..

Hayo ni majibu ya mtu mwenye busara. .. ya ndani ya ndoa yangeishia hukohuko. . Jay de hajafanya fanya vema. . Angekaa kimya tu. . Aendelee na maisha yake kama alivofanya mwenzie

Unajua Jide ni mkorofi sana daa yani hapo kashahamua liwalo na liwe yuko tayari kwa vita nyingine! Unajua mimi mwenyewe sijapenda Jide kuyaongelea hayo lakini niligundua Jide ana mzigo mkubwa na kuanzia kichwani hadi moyoni pengine huu ndio mwanzo wa kupunguza mizigo!
 
Au tatizo la kutopata mtoto ndo lilichangia haya yote?
 
Walivyokuwa wana act kwenye DIARY, utadhani kweli wako kwenye ndoa ya furaha+
Mapenzi haya!
 
Sijaelewa alivyosema kaacha kila kitu inamaanisha ile nyumba,envoque na murano kamuachia gadner? Mbona gadner aliondoka kwenda kukaa m/nyamala akiwa na fuko la Rambo? Juzi Juzi jide alipiga picha na prof jay akiwa na gari zake zote mbili au wakati anaenda USA alipanda nazo kwenye ndege then akarudi nazo? Kama gari still anazo kwanini asema kwamba hajaondoka na kitu?

Mkuu yule Dada anatapatapa....na anadhani ndio relief hiyoo..
 
Yeah siku hazigandi sema Jide alimpenda saana Gardner... mambo ya kuolewa ba mtu ukiamini He will change, nitambadilisha kumbe hamba kitu
tume will heal her broken heart

Na hapo ndio hoja yangu ilipo asante madam.....kwa akili ya kawaida mtu anayeweza kukupenda wewe baada ya kumshawishi amuache mwenzake aliyenae,huyooo sio mtu mzuri na usitarajie mabadiliko kwake..

So hiki anachokilalamikia hapa she's the source of it....asitafute sympathy za kilofa....alidhani chozi la mwanamke mwenzake lingeenda bure kama la.samaki????
 
Na hapo ndio hoja yangu ilipo asante madam.....kwa akili ya kawaida mtu anayeweza kukupenda wewe baada ya kumshawishi amuache mwenzake aliyenae,huyooo sio mtu mzuri na usitarajie mabadiliko kwake..

So hiki anachokilalamikia hapa she's the source of it....asitafute sympathy za kilofa....alidhani chozi la mwanamke mwenzake lingeenda bure kama la.samaki????

Dah hivi kama kweli unampenda mtu unaweza kushawishiwa umuache.. huyo Gardner alimuacha mkewe kwa maamuzi yake mwenyewe mbona umekazania jayd ndo kasababisha halaf Gardner humuongelei.
Mnaovunja ndoa ni nyie wenyewe wanandoa na sio mtu wa nje.. kama wangekua dhabit kwenye ndoa yao unadhan wangeachana??
 
Mi kwa upande wangu naamin Jide ndie mwenye maumivu makali sana moyoni.kwani ndie aliempenda G ,haya yoote mala nyingi watu wa mujini husema HAYO NI MANENO YA MKOSAJI......Jide wakati anatumia pesa kumpata G aliumiza sana moyo wa dada Mmoja hivi huko Mwanza dada huyo aliitwa Idda,Idda ndie alizaa na G Mtoto Mmoja wa kike,aliteseka sana na Hali Kama hii baada ya dada yetu kuingilia Penzi Lao,huyu Jide ni MSHAHARA WA YALE ALIYOTENDA.......Nina iman Jide anayo mateso Makubwa sana juu ya kuachana na G.......kamwe jambo hili haliweZi toka mapema kichwani mwake maana ndie hasa alikuwa mwenye Penzi kwa G......pole sana Jide
 
Sasa ni zamu yako kunywa pombe kukesha kwenye Bar kutembelea hata wale ambao hukuwahi kufikilia kufika kwao kwa kesi hii woote utaona kuwa nao utapata nafuu.....pole sana Jide kipindi unatumia pesa kumpata G mwenzio alikuwa hapati usingiZi hawezi kula akakonda Mawazo Mengi mabaya yalimwijia,alichoka sana Sasa zamu yako Idda alishazoea kaolewa na Adamu wana maisha safi wamezaa Watoto wanafurha ya kutosha maisha Yao mazuri,maumivu ya matendo yako yalishakwisha na SASA NI ZAMU YAKO........pole sana Mdogo wangu Jide........
 
Matokeo ya kutumia pesa kupata wanaume ndo haya. Gadna roho yake ilikuwa kwa Fauzia, secretary wa
Joseph Kusaga. Gadna pale alikuwa kafa kaoza and it was real love sababu Gadna hakuwa na kitu na
Fauzia alikuwa kasecretary tu.

Akaja Jide na mihela yake pakawa hapakaliki. Gadna akamwacha Fauzia akaenda kwa jide coz of money but
after few months akaona hawezi ishi bila Fauzia akarudi tena kwa Fauzia
wakaendelea na mapenzi yao ya kimaskini.

After few months akaona mapenzi bila hela sio matamu sana akaona bora aende kwenye hela akarudi tena kwa Jide.

Hapa naongelea around 2002 hivi jamani.
Clouds fm palikuwa hapakaliki ni machozi na ngumi tu. Jide alikuwa akimuona Gadna na fauzia analia mpaka kamasi zinamtoka tena mbele
za watu na akipata mwanya
anamrukia Fauzia anamchapa kama kamzaa kisa Gadna.

Gadna alikuwa anashindwa kuwa na uamuzi maana
one side kuna pesa, the other side ndo roho yake ilipo. Kuna siku nakumbuka enzi za Blue palms Jide alimkuta Gadna na Fauzi hapo, Gadna akawa anajifanya kama hamuoni Jide
vile yupo busy na malovey dovey na Fauzia. Jide aliangua kilio mbele za watu kama kafiwa tena kipindi hiko ndio video ya machozi aliyo act
Frank Gonga imetoka.
akawa anamtuliza Jide asianzishe vagi, for some reason Jide akamsilikiza Frank sababu ni Mkurya mwenzie. Jide kateseka na Gadna
even before ndoa,

toka wanadate ilikuwa ni relationship ya mateso ila
aliamua kung’ang’ana na kumuhonga Gadna. Like always, in the end money
won and Gadna married JIDE.
Problem is he never fell in love with her alikuwa pale kimaslahi na alikuwa anawaambia watu hana stimu kabisa na Jide ndo maana alikuwa anatia tia nje kila siku.


Lesson to learn today: money cant buy you love. Happy Valentines wana Jf

Nasikitika kumaliza kusoma post hii, natamani engeendelea! Hatariii
 
Dah hivi kama kweli unampenda mtu unaweza kushawishiwa umuache.. huyo Gardner alimuacha mkewe kwa maamuzi yake mwenyewe mbona umekazania jayd ndo kasababisha halaf Gardner humuongelei.
Mnaovunja ndoa ni nyie wenyewe wanandoa na sio mtu wa nje.. kama wangekua dhabit kwenye ndoa yao unadhan wangeachana??

Sababu ya mm.kumuongelea yeye ni hiyo ya kutaka tuamini she's innocent ktk hili......huwezi panda miiba utarajie iote nanasi..
Gardner simuongelei coz jide knew kila kitu abt mitabia ya Gardner,ila akaamua tu kuforce mahusiano na hatimaye ndoa,huku amkimfanyia vituko mwanamke mwenzake(kweli adui ya mwanamke ni mwanamke mwenzake)
hicho tu.
 
Hongera sana jide, maana kama unaishi na Mume ambaye ni Malaya mwisho atakuuwa kwa ukimwi. Bora nusu shari
 
Wanawake watarajiwa wanajifunza kuwa wakichoka hakuna haja ya kupigishana kelele kubeba vitu hapana ,Ni kwenda tu kazini na hurudi tena na simu unamblock maisha yanaendelea

Haaaaaaaa kwani na wewe ni mwanamke mbona umetusemea hivyo lol
 
daah yaani nilivyokuwaga nawaona kwenye diary nlidhani wanafuraha....kumbe.......

Huku Flora...huku Jide

Nadhani kuna haja hii taasisi ya ndoa iandaliwe mtaala chuo kikuu...wanaohitimu tu ndio waingie.....muda si mrefu tutamsikia na yule binti mwenye Quarter Faraja naye anamwaga ya kwake...."yaani nimeteseka na yule baba mpaka yamenifika kooni"
 
Wanawake watarajiwa wanajifunza kuwa wakichoka hakuna haja ya kupigishana kelele kubeba vitu hapana ,Ni kwenda tu kazini na hurudi tena na simu unamblock maisha yanaendelea

Mawasiliano yanakuwa kupitia IJUMAA,KIU,AMANI,FACE BOOK,INSTAGRAM,WHATUP,JF,TANGO ETC SIO?
 
Back
Top Bottom