Hapa kwa Mwarabu umeongozwa na :Kiongozi wa wanamgambo wa Iraq
Hapa kwa Mmarekani na Muisrael umeongozwa na :mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani na Israel
Mimi au chanzo cha hiyo habari?Hapa kwa Mwarabu umeongozwa na :
mahaba
/mahaba/
hali ya kuingiwa moyoni na mtu au kitu na kukithamini zaidi ya vingine
Hapa kwa Mmarekani na Muisrael umeongozwa na :
chuki
/t∫uki/
1. tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya
2. maneno ya kugombanisha watu
3. hali ya kukasirika
Nafikiri unakiamini kitabu chako! Au hukiamini???Mimi Muislam. Waislam hatubagui mtu kwa dini yake, kabila yake, rangi wala mali yake.
Haya tetea hoja yako huku ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa.Hoja yako ni mfu kwa Waislam.
wakristo na wayahudi hatuwabagui, ila hatuwezi kuwaamini au kuwafanya marafiki maana nyinyi ni wanafiki na hamtupendi kabisa, mnatuonea wivu na dini yetu nzuri !!! tofautisha na chuki,Nafikiri unakiamini kitabu chako! Au hukiamini???
Surah Al-Maidah (5:51)
۞ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلْيَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰٓ أَوْلِيَآءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَآءُ بَعْضٍۢ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُۥ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهْدِى ٱلْقَوْمَ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٥١
51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Haya tetea hoja yako huku ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa.
Usichokielewa nini hapo?Nafikiri unakiamini kitabu chako! Au hukiamini???
Surah Al-Maidah (5:51)
۞ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلْيَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰٓ أَوْلِيَآءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَآءُ بَعْضٍۢ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُۥ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهْدِى ٱلْقَوْمَ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٥١
51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Haya tetea hoja yako huku ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa.
Mmeacha lini kubagua mtu kwa dini yake? Joshua aliuliwa na magaidi ya Hamas sababu ya dini yake. Isis wamekata vichwa watu wengi tu sababu ya ubaguzi wa KIDINI,boko haram vile vile alshabab vile vile.Mimi au chanzo cha hiyo habari?
Mimi Muislam. Waislam hatubagui mtu kwa dini yake, kabila yake, rangi wala mali yake.
Hoja yako ni mfu kwa Waislam.
Samahani, tumia akili yako, huyu mtu hayupo kwenye dini yako?? Hayupo kwenye familia yenu?. Hayupoila hatuwezi kuwaamini au kuwafanya marafiki maana nyinyi ni wanafiki na hamtupendi kabisa
Huu ndiyo uzuri wa kuonewa wivu??mnatuonea wivu na dini yetu nzuri !!!
Usichokielewa nini hapo?
Mimi Muislam. Waislam hatubagui mtu kwa dini yake, kabila yake, rangi wala mali yake.
Mbona umeingia mada isiyokuwepo?
Nafikiri unakifahamu kiswahili vizuri, nimetoa maana ya neno 'ubaguzi', umejaribu kusema dini yenu haibagui, je, ni kweli???Mimi Muislam. Waislam hatubagui mtu kwa dini yake, kabila yake, rangi wala mali yake.
Kafiri una mambo weweHivi mama, hawa mbona hawafiki, au wanachimba dawa
Waturuki na Urusi wapeleka majeshi ya Gaza
Waturuki na Urusi wapeleka majeshi ya Gaza
Kimbembe kinanukia huko Ghaza. Ni unafiki wa Waturuki na Urusi kutuma majeshi ya Ghaza au walikuwa wanagoja "timing" ya kidiplomasia kabla hawajafanya "move" yao. Wayahudi na Wamarekani mavi debe, Jionee; https://youtu.be/lVwK-lXMvDg?si=s71lmoSKbZwiuhk9www.jamiiforums.com
Tangu mwaka jana
View attachment 2946448
acha uongo quran haijasema ukristo ila wayahud na manaswala.Nafikiri unakiamini kitabu chako! Au hukiamini???
Surah Al-Maidah (5:51)
۞ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلْيَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰٓ أَوْلِيَآءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَآءُ بَعْضٍۢ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُۥ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهْدِى ٱلْقَوْمَ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٥١
51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Haya tetea hoja yako huku ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa.
kumbe ni ke wa kabsa kabsa!Mbona nipo humu kila siku. Tunapishana mitaa tu, JF imekuwa sana siku hizi.