Exclusive-Militia wa Iraq waonya wanajeshi wa Marekani wataondoka 'katika majeneza' ikiwa Biden hatajiondoa

Exclusive-Militia wa Iraq waonya wanajeshi wa Marekani wataondoka 'katika majeneza' ikiwa Biden hatajiondoa

Mimi au chanzo cha hiyo habari?

Mimi Muislam. Waislam hatubagui mtu kwa dini yake, kabila yake, rangi wala mali yake.

Hoja yako ni mfu kwa Waislam.
We unabagua waliosomea ujinga.
 
Samahani, tumia akili yako, huyu mtu hayupo kwenye dini yako?? Hayupo kwenye familia yenu?. Hayupo
kwenye ukoo wenu?? Hayupo kwenye kabila lenu??


mnafiki


/mnafiki/


mtu anayesema kinyume na anavyotenda; mtu anayetoa ahadi kisha asitimize



Huu ndiyo uzuri wa kuonewa wivu??

Surah Muhammad (47:4 QURAN)

فَإِذَا لَقِيتُمُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فَضَرۡبَ ٱلرِّقَابِ حَتَّىٰٓ إِذَآ أَثۡخَنتُمُوهُمۡ فَشُدُّواْ ٱلۡوَثَاقَ فَإِمَّا مَنَّۢا بَعۡدُ وَإِمَّا فِدَآءً حَتَّىٰ تَضَعَ ٱلۡحَرۡبُ أَوۡزَارَهَاۚ ذَٰلِكَۖ وَلَوۡ يَشَآءُ ٱللَّهُ لَٱنتَصَرَ مِنۡهُمۡ وَلَٰكِن لِّيَبۡلُوَاْ بَعۡضَكُم بِبَعۡضٖۗ وَٱلَّذِينَ قُتِلُواْ فِي سَبِيلِ ٱللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعۡمَٰلَهُمۡ


4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a´mali zao.
Du maagizo ya Allah hayo
 
acha uongo quran haijasema ukristo
Surah Al-Maidah (5:51)

۞ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلْيَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰٓ أَوْلِيَآءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَآءُ بَعْضٍۢ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُۥ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهْدِى ٱلْقَوْمَ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٥١

Sahih International

O you who have believed, do not take the Jews and the Christians as allies. They are [in fact] allies of one another. And whoever is an ally to them among you - then indeed, he is [one] of them. Indeed, Allah guides not the wrongdoing people.




وَٱلنَّصَٰرَىٰٓ- ( lnasaraawaٱ) : And the Christians




Sifahamu kiwango chako cha elimu, ila unaendeshwa na :


mhemko


/mhɛmkɔ/

hali ya kupandwa na hasira au hamu kubwa

 
Nafikiri unakiamini kitabu chako! Au hukiamini???


Surah Al-Maidah (5:51)


۞ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلْيَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰٓ أَوْلِيَآءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَآءُ بَعْضٍۢ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُۥ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهْدِى ٱلْقَوْمَ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٥١




51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.


Haya tetea hoja yako huku ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa.

"Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu."

Wale ambao si waislam hakika wana dhulumu nafsi zao.
 
Nafikiri unakiamini kitabu chako! Au hukiamini???


Surah Al-Maidah (5:51)


۞ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلْيَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰٓ أَوْلِيَآءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَآءُ بَعْضٍۢ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُۥ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهْدِى ٱلْقَوْمَ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٥١




51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.


Haya tetea hoja yako huku ukitumia akili yako na siyo ya kushikiwa.

"Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu."

Wale ambao si waislam hakika wana dhulumu nafsi zao.
 
Samahani, tumia akili yako, huyu mtu hayupo kwenye dini yako?? Hayupo kwenye familia yenu?. Hayupo
kwenye ukoo wenu?? Hayupo kwenye kabila lenu??


mnafiki


/mnafiki/


mtu anayesema kinyume na anavyotenda; mtu anayetoa ahadi kisha asitimize



Huu ndiyo uzuri wa kuonewa wivu??

Surah Muhammad (47:4 QURAN)

فَإِذَا لَقِيتُمُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فَضَرۡبَ ٱلرِّقَابِ حَتَّىٰٓ إِذَآ أَثۡخَنتُمُوهُمۡ فَشُدُّواْ ٱلۡوَثَاقَ فَإِمَّا مَنَّۢا بَعۡدُ وَإِمَّا فِدَآءً حَتَّىٰ تَضَعَ ٱلۡحَرۡبُ أَوۡزَارَهَاۚ ذَٰلِكَۖ وَلَوۡ يَشَآءُ ٱللَّهُ لَٱنتَصَرَ مِنۡهُمۡ وَلَٰكِن لِّيَبۡلُوَاْ بَعۡضَكُم بِبَعۡضٖۗ وَٱلَّذِينَ قُتِلُواْ فِي سَبِيلِ ٱللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعۡمَٰلَهُمۡ


4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a´mali zao.
Kitu gani usicho kielewa hapa,hivi unajua uzito wa KUFURU wewe,au una copy na kutuletea huku?
 
Mmeacha lini kubagua mtu kwa dini yake? Joshua aliuliwa na magaidi ya Hamas sababu ya dini yake. Isis wamekata vichwa watu wengi tu sababu ya ubaguzi wa KIDINI,boko haram vile vile alshabab vile vile.
Hivi wanayo fanya wa MAREKANI mnayaona ama mmeweka PAMBA masikioni,kwani hao si juzi tu wametuletea CORONA,haya na wale wanao kuja kunyonya MALI ZETU AFRICA kisha wanapeleka nchini kwao ni wakina nani?,hebu ntafutie NCHI YOYOTE YENYE DOLA YA KIISLAM KAMA WANAFANYA MAMBO HAYO.
 
Samahani, tumia akili yako, huyu mtu hayupo kwenye dini yako?? Hayupo kwenye familia yenu?. Hayupo
kwenye ukoo wenu?? Hayupo kwenye kabila lenu??


mnafiki


/mnafiki/


mtu anayesema kinyume na anavyotenda; mtu anayetoa ahadi kisha asitimize



Huu ndiyo uzuri wa kuonewa wivu??

Surah Muhammad (47:4 QURAN)

فَإِذَا لَقِيتُمُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فَضَرۡبَ ٱلرِّقَابِ حَتَّىٰٓ إِذَآ أَثۡخَنتُمُوهُمۡ فَشُدُّواْ ٱلۡوَثَاقَ فَإِمَّا مَنَّۢا بَعۡدُ وَإِمَّا فِدَآءً حَتَّىٰ تَضَعَ ٱلۡحَرۡبُ أَوۡزَارَهَاۚ ذَٰلِكَۖ وَلَوۡ يَشَآءُ ٱللَّهُ لَٱنتَصَرَ مِنۡهُمۡ وَلَٰكِن لِّيَبۡلُوَاْ بَعۡضَكُم بِبَعۡضٖۗ وَٱلَّذِينَ قُتِلُواْ فِي سَبِيلِ ٱللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعۡمَٰلَهُمۡ


4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a´mali zao.
Hivi unawajua vizuri watu wanao KUFURU wewe?,

Hivi wanayo fanya wa MAREKANI mnayaona ama mmeweka PAMBA masikioni,kwani hao si juzi tu wametuletea CORONA,haya na wale wanao kuja kunyonya MALI ZETU AFRICA kisha wanapeleka nchini kwao ni wakina nani,haya na hawa wanao eneza NDOA ZA JINSIA MOJA pia ni wakina nani,haya na yule kiongozi anae wa bariki WAFANYA UCHAFU WA JINSIA MOJA pia wakina nani?,SASA HAO NDIO MIONGONI MWA WATU WALIO KUFURU.

Hebu ntafutie NCHI YOYOTE YENYE DOLA YA KIISLAM KAMA WANAFANYA MAMBO HAYO.
 
Hivi wanayo fanya wa MAREKANI mnayaona ama mmeweka PAMBA masikioni
haya na wale wanao kuja kunyonya MALI ZETU AFRICA kisha wanapeleka nchini kwao ni wakina nani
haya na yule kiongozi anae wa bariki WAFANYA UCHAFU WA JINSIA
Hebu ntafutie NCHI YOYOTE YENYE DOLA YA KIISLAM KAMA WANAFANYA MAMBO HAYO.

Tuanze hapa kwanza:​


kufuru


/kufuru/


1.tamko au maneno ambayo ni kinyume na imani ya dini


2.dharau ya dini

Saudi Arabia to get first alcohol shop in more than 70 years​



 

Tuanze hapa kwanza:​


kufuru


/kufuru/


1.tamko au maneno ambayo ni kinyume na imani ya dini


2.dharau ya dini

Saudi Arabia to get first alcohol shop in more than 70 years​



KUFURU anaweza kufanya binadamu wowote,hakika sisi Binadamu nafsi zetu dhaifu sana,tunafanya makosa kwa kujua ama kutokujua ndio maana Pamoja na KUFURU tunazo fanya tunatakiwa tutubie Toba ya kweli.
Toba ni nini,ni dhana ya Kiislamu ya kutubu kwa Mungu kutokana na kufanya dhambi na maovu yoyote/ ni msimamo wa mtu kujuta dhambi na kwa hiyo kutaka kurekebisha alichoharibu kwa njia hiyo. surat Hud Aya 3
 
Back
Top Bottom