Exclusive: Mkubwa Fella asema Yeye ndiyo humbebea Hirizi na Matunguri Diamond Stejini

Exclusive: Mkubwa Fella asema Yeye ndiyo humbebea Hirizi na Matunguri Diamond Stejini

Nimemskiza hapa FELLA. Na baadae Mh. Sixtus Mapunda nae akawa anaelezea Entrepreneurship na mambo ya siasa.

Ushirikina umeenea maeneo mengi. Soka. Siasa. Muziki. Bongo Movie. Na ndio maana sio tu kuendelea, hata kusogea hatusogei!
 
Hapo alipofafanua ndicho alicho maanisha....maana kama nduma zingekuwa zinapaisha kiasi hicho basi tungekuwa na wasanii zaidi ya 1000 wa level za Diamond...
 
Bahati nzuri sana ' Moto ' wangu wanaujua vilivyo. Nawasubiri waje na wahakikishe wamejipanga vizuri kwani GENTAMYCINE huwa ' sibipiwi ' na ' simcheleweshi ' Popoma yoyote yule anayejaa mwenyewe katika ' frame '.
Kaka unamhukumu diamond wakati alikiba nae ni walewale
 
hivi yamoto band wameishia wapi?

Hawakuzingatia ushauri wake wa ' Kishirikina ' na sasa ' Kwishnei '. Akiwapa Hirizi / Tunguri wazibebe wakiwa ' Stejini ' wao hawataki kaona ' wanamchelewesha ' na sasa kabaki tu kwa Mpenda ' Ushirikina ' mwenzie Diamond Platinum na sasa ' Ndumba ' zao zinaelewana sana kama Sumaku za South Pole na North Pole.
 
Kaka unamhukumu diamond wakati alikiba nae ni walewale

Acha uwongo na muogope Mungu wako hapo hapo ulipo Mkuu kabla ' hajakulaani '. Ali Kiba si ' Mshirikina ' na wala hata huo ' Ushirikina ' wenu Wewe, Mkubwa Fella na Ndugu yenu Diamond Platinum wala haujui. Halafu siku zote hata Sura za Watu huonyesha dhahiri matumizi ya ' Ushirikina '.

Hivi kwa Sura ya ' Uhendisamu boi ' ile ya Ali Kiba unadhani anahitaji kweli ' Ndumba ' ili kujaza Ukumbi anapokuwa anapafomu? Sasa angalia Sura ya Diamond Platinum nadhani ilivyo tu inajionyesha dhahiri kuwa anahitaji ' Ndumba ' ya Kufa Mtu ili ' Nyomi ' liwepo Ukumbini kwani hivi hivi anaweza akajikuta anaimba Yeye huku Mbuzi, Ng'ombe, Kuku na Bata wakimtizama badala ya Wanadamu.

Kwa post hii ya ' Kimakusudi ' na ' Kichokonozi ' najua sasa mtakuja rasmi na Mimi leo nina hamu sana ya ' Kuparurana ' nanyi na hivi Meneja wake / wenu Mkubwa Fella kathibitisha mwenyewe mubashara Clouds TV leo ' mtanikoma ' hakyanani Team Ndomo.

Na kitendo chake cha kwenda ' Kumshitaki ' mwana Dimpoz mwenzangu Ommy Central ndiyo kumenitibua na kunikasirisha kabisa juu ya huyo Mpuuzi wenu. Hivi mambo ya Chumbani tena ya Sirini Mwanaume uliyekamilika kweli kila siku asubuhi ' Mnara wako wa Babeli ' namaanisha Mkuyenge wako unasimama unaweza kumpeleka Polisi Mwanaume mwenzio kwa mambo ya Sirini / Faragha?

Amenichefua sana na nilikuwa namtafutia tu ' angle ' na hatimaye leo Mkubwa Fella amenianzishia. Namshukuru sana.

Team Ndomo mpo wapi?
 
Anifanyie ndumba nami nitoke kisanii

Kuna ' Ndumba ' zingine huwa zinawekwa katika ' Minara ya Babeli ' ya Kiume je upo tayari Mkuu Mkubwa akufanyie hivyo hivyo tu ili nawe uweze ' Kutusua ' kama Ndomo?
 
Acha uwongo na muogope Mungu wako hapo hapo ulipo Mkuu kabla ' hajakulaani '. Ali Kiba si ' Mshirikina ' na wala hata huo ' Ushirikina ' wenu Wewe, Mkubwa Fella na Ndugu yenu Diamond Platinum wala haujui. Halafu siku zote hata Sura za Watu huonyesha dhahiri matumizi ya ' Ushirikina '.

Hivi kwa Sura ya ' Uhendisamu boi ' ile ya Ali Kiba unadhani anahitaji kweli ' Ndumba ' ili kujaza Ukumbi anapokuwa anapafomu? Sasa angalia Sura ya Diamond Platinum nadhani ilivyo tu inajionyesha dhahiri kuwa anahitaji ' Ndumba ' ya Kufa Mtu ili ' Nyomi ' liwepo Ukumbini kwani hivi hivi anaweza akajikuta anaimba Yeye huku Mbuzi, Ng'ombe, Kuku na Bata wakimtizama badala ya Wanadamu.

Kwa post hii ya ' Kimakusudi ' na ' Kichokonozi ' najua sasa mtakuja rasmi na Mimi leo nina hamu sana ya ' Kuparurana ' nanyi na hivi Meneja wake / wenu Mkubwa Fella kathibitisha mwenyewe mubashara Clouds TV leo ' mtanikoma ' hakyanani Team Ndomo.

Na kitendo chake cha kwenda ' Kumshitaki ' mwana Dimpoz mwenzangu Ommy Central ndiyo kumenitibua na kunikasirisha kabisa juu ya huyo Mpuuzi wenu. Hivi mambo ya Chumbani tena ya Sirini Mwanaume uliyekamilika kweli kila siku asubuhi ' Mnara wako wa Babeli ' namaanisha Mkuyenge wako unasimama unaweza kumpeleka Polisi Mwanaume mwenzio kwa mambo ya Sirini / Faragha?

Amenichefua sana na nilikuwa namtafutia tu ' angle ' na hatimaye leo Mkubwa Fella amenianzishia. Namshukuru sana.

Team Ndomo mpo wapi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu una hasira nao kweli, wanakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WE MWENYEWE MSHIRIKINA TU,AU HUJUI MAANA YA USHIRIKINA NA UCHAWI???


HATA HIZO CHUKI ZAKO ZA KUAMINI UCHAWI BASI NAWE HUMOHUMOO
 
Nyi
Akizungumza kwa kujiamini kabisa na mikogo yote unayoijua Wewe Meneja mzoefu wa Wasanii maarufu na wakubwa nchini Tanzania na Diwani wa Kata ya Kilungule kupitia Chama cha Mapinduzi Said Fella ( Mkubwa Fella ) amesema kuwa Yeye Kazi yake kubwa kwa Diamond ni kumvutia tu mashabiki wengi Ukumbini kwa kutumia ndumba / ushirikina ambao amesema kuwa si tu amebobea bali ametukuka nao kabisa.

Maneno haya ameyatoa mubashara leo hii Siku ya Jumamosi tarehe 16 mwezi Septemba alipokuwa akifanya mahojiano na Watangazaji wa Kipindi cha Clouds tv 360 on Saturday akina Ceaser ( Siza ) na mwenzake Gibson.

Swali la Mtangazaji Siza kwa Mkubwa Fella lilikuwa kama lifuatavyo..." Tafadhali Mkubwa Fella hebu tuambie Wewe majukumu yako makuu hasa kwa Mwanamuziki Diamond Platinum ni yapi kwani Watazamaji na Watanzania kwa ujumla wangependa sana kujua ".

Majibu ya Mkubwa Fella yalikuwa yafuatayo... " Kicheko kikubwa kilianza na akasema unajua pale tupo Watu kama Watatu hivi Mimi Fella, Babu Tale na Meneja Salam na wote tuna majukumu yetu ila Mimi hasa jukumu langu ni kuhakikisha nabeba Silaha zangu za Kiutamaduni natembea nazo kila ambapo Diamond Platinum anaenda kufanya Show yake ili niweze kumvutia Mashabiki wengi na pia wazidi kumpenda. Kwa Sisi Waafrika hasa Watanzania haya mambo siyo mageni na yanafanyika mno tu ".

Hata hivyo katika hali isiyo ya kawaida na iliyoonyesha kwamba kweli Mkubwa Fella ni Mtoto wa Mjini hasa na pengine ndiyo maana anaishi kwa Masela na Wajanja Temeke alipotakiwa kutolea ufafanuzi hiyo kauli yake ya mwanzo kwa mshangao mkubwa sana pale pale aligeuza maelezo yake ya awali na kusema hivi namnukuu..." Hapana siyo kwamba labda namaanisha kuwa namfanyia Ushirikina / Ndumba Diamond Platinum ili ajaze Watu Ukumbini bali nilichomaanisha tu ni kwamba Mimi huwa nahakikisha kwamba kule kote ambako Diamond Platinum anaenda Kupafomu nakamata Marafiki zangu walioko huko na kisha nawajaza upepo / nawatia sana ndimu kwa kuwaambia wahamasishe Watu wa huko waje kuingia katika Shows za Mwanangu na ndiyo maana unaweza kuona kila Show ya Diamond Platinum huwa kunakuwa na Nyomi la Kufa Mtu ".

Mwisho nadhani leo Diwani wa CCM Kilungule na Meneja wa Wasanii Said Fell ( Mkubwa Fella ) amehitimsha rasmi ule mjadala wa kwamba Msanii Diamond Platinum ni mpenda ' Shiriki / uchawi ' kwani Yeye kama Meneja wake tena wa siku nyingi ' amekiri ' kuwa ndiyo humbebea matunguri na hirizi zote ili aweze kumjazia Watu / Mashabiki Ukumbini.

Akhsante sana Mkubwa Fella.

Nawasilisha.
[/QUOT E
Nyinyi ndo mnauwaga vibibi zizee vyenye macho mekundu huko SHINYANGA kwa kuamini kukosekana kwa mafanikio yako source kulogwaaa





ACHA IMANI ZA KUSHIRIKINA WEWEEE
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu una hasira nao kweli, wanakuja

Sent using Jamii Forums mobile app

Nawasubiri kwa hamu sana na nashangaa mpaka sasa hawajaja. Leo nitakula nao sahani moja ni nitawanyoosha vilivyo humu. Ndomo nilikuwa namuheshimu na namkubali sana Mkuu ila Ktendo chake cha juzi kumpeleka Central Police Baba yake wa Kambo Ommy Dimpoz kwa mambo ya Sirini / Faragha ndiyo yamenichefua mno na kuanza kumchukia.

Na sasa naanza pia kutilia mashaka ' Uanamume ' wake na kama hata ' Mnara wake wa Babeli ' umesimama imara. Na uzuri ni kwamba Meneja wake Mkubwa kabisa Mkubwa Fella leo kaweka hadharani kila kitu kuwa anamfanikishia sana ' Ndomo ' mambo yake mengi ya Kimuziki kwakuwa anatumia sana / mno ' Shiriki / Ndumba '.
 
WE MWENYEWE MSHIRIKINA TU,AU HUJUI MAANA YA USHIRIKINA NA UCHAWI???


HATA HIZO CHUKI ZAKO ZA KUAMINI UCHAWI BASI NAWE HUMOHUMOO

Ila huo ' Ushirikina ' wa Mkubwa Fella na anayemmaneji ' Ndomo hadi anawavutia Mashabiki maelfu Ukumbini bado sijaufikia kwani wenzangu watakuwa wapo zile levels ' zisizojulikana ' za Ushirikina / Ndumba hapa Ulimwenguni.
 
Nawasubiri kwa hamu sana na nashangaa mpaka sasa hawajaja. Leo nitakula nao sahani moja ni nitawanyoosha vilivyo humu. Ndomo nilikuwa namuheshimu na namkubali sana Mkuu ila Ktendo chake cha juzi kumpeleka Central Police Baba yake wa Kambo Ommy Dimpoz kwa mambo ya Sirini / Faragha ndiyo yamenichefua mno na kuanza kumchukia.

Na sasa naanza pia kutilia mashaka ' Uanamume ' wake na kama hata ' Mnara wake wa Babeli ' umesimama imara. Na uzuri ni kwamba Meneja wake Mkubwa kabisa Mkubwa Fella leo kaweka hadharani kila kitu kuwa anamfanikishia sana ' Ndomo ' mambo yake mengi ya Kimuziki kwakuwa anatumia sana / mno ' Shiriki / Ndumba '.
Diamond atabk kuwa juu tuh uliianz na mengii na mtakuj na ving still domo anatusua tuh....pole yko unasubr kubshn ujinga!!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Akizungumza kwa kujiamini kabisa na mikogo yote unayoijua Wewe Meneja mzoefu wa Wasanii maarufu na wakubwa nchini Tanzania na Diwani wa Kata ya Kilungule kupitia Chama cha Mapinduzi Said Fella ( Mkubwa Fella ) amesema kuwa Yeye Kazi yake kubwa kwa Diamond ni kumvutia tu mashabiki wengi Ukumbini kwa kutumia ndumba / ushirikina ambao amesema kuwa si tu amebobea bali ametukuka nao kabisa.

Maneno haya ameyatoa mubashara leo hii Siku ya Jumamosi tarehe 16 mwezi Septemba alipokuwa akifanya mahojiano na Watangazaji wa Kipindi cha Clouds tv 360 on Saturday akina Ceaser ( Siza ) na mwenzake Gibson.

Swali la Mtangazaji Siza kwa Mkubwa Fella lilikuwa kama lifuatavyo..." Tafadhali Mkubwa Fella hebu tuambie Wewe majukumu yako makuu hasa kwa Mwanamuziki Diamond Platinum ni yapi kwani Watazamaji na Watanzania kwa ujumla wangependa sana kujua ".

Majibu ya Mkubwa Fella yalikuwa yafuatayo... " Kicheko kikubwa kilianza na akasema unajua pale tupo Watu kama Watatu hivi Mimi Fella, Babu Tale na Meneja Salam na wote tuna majukumu yetu ila Mimi hasa jukumu langu ni kuhakikisha nabeba Silaha zangu za Kiutamaduni natembea nazo kila ambapo Diamond Platinum anaenda kufanya Show yake ili niweze kumvutia Mashabiki wengi na pia wazidi kumpenda. Kwa Sisi Waafrika hasa Watanzania haya mambo siyo mageni na yanafanyika mno tu ".

Hata hivyo katika hali isiyo ya kawaida na iliyoonyesha kwamba kweli Mkubwa Fella ni Mtoto wa Mjini hasa na pengine ndiyo maana anaishi kwa Masela na Wajanja Temeke alipotakiwa kutolea ufafanuzi hiyo kauli yake ya mwanzo kwa mshangao mkubwa sana pale pale aligeuza maelezo yake ya awali na kusema hivi namnukuu..." Hapana siyo kwamba labda namaanisha kuwa namfanyia Ushirikina / Ndumba Diamond Platinum ili ajaze Watu Ukumbini bali nilichomaanisha tu ni kwamba Mimi huwa nahakikisha kwamba kule kote ambako Diamond Platinum anaenda Kupafomu nakamata Marafiki zangu walioko huko na kisha nawajaza upepo / nawatia sana ndimu kwa kuwaambia wahamasishe Watu wa huko waje kuingia katika Shows za Mwanangu na ndiyo maana unaweza kuona kila Show ya Diamond Platinum huwa kunakuwa na Nyomi la Kufa Mtu ".

Mwisho nadhani leo Diwani wa CCM Kilungule na Meneja wa Wasanii Said Fell ( Mkubwa Fella ) amehitimsha rasmi ule mjadala wa kwamba Msanii Diamond Platinum ni mpenda ' Shiriki / uchawi ' kwani Yeye kama Meneja wake tena wa siku nyingi ' amekiri ' kuwa ndiyo humbebea matunguri na hirizi zote ili aweze kumjazia Watu / Mashabiki Ukumbini.

Akhsante sana Mkubwa Fella.

Nawasilisha.
MCHAWI HAJISEMI WEWE,SEMA UKO GOOD KWENYE KUANDIKA UMBEA UNAFAA KUWA RIPOTA WA UDAKU.
 
Diamond atabk kuwa juu tuh uliianz na mengii na mtakuj na ving still domo anatusua tuh....pole yko unasubr kubshn ujinga!!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Naona wabeba ' matunguri ' na ' hirizi ' wa Ndomo Diamond Platinum sasa mmeamka na mmekuja. Naomba waamshe kabisa na Team Ndomo wenzio ili mje kwa wingi kwani ifikapo Saa 5 kamili muda mchache kutoka sasa nita log out ila mnamo Saa 8 kamili mchana huu hadi Saa 9 kamili alasiri ya leo nitarudi na nitakuwepo tena humu Jamvini JF ili kuja kuwajibuni vizuri. Naomba muyatumie vizuri haya masaa matatu ambayo nitakuwa sipo online muweze kujibu ' Hoja ' na nikija niweze kuzikabili vizuri.

Sasa ni rasmi GENTAMYCINE ni Team Kiba na Team Dimpoz. Diamond Platinum bye bye.
 
Back
Top Bottom