Acha uwongo na muogope Mungu wako hapo hapo ulipo Mkuu kabla ' hajakulaani '. Ali Kiba si ' Mshirikina ' na wala hata huo ' Ushirikina ' wenu Wewe, Mkubwa Fella na Ndugu yenu Diamond Platinum wala haujui. Halafu siku zote hata Sura za Watu huonyesha dhahiri matumizi ya ' Ushirikina '.
Hivi kwa Sura ya ' Uhendisamu boi ' ile ya Ali Kiba unadhani anahitaji kweli ' Ndumba ' ili kujaza Ukumbi anapokuwa anapafomu? Sasa angalia Sura ya Diamond Platinum nadhani ilivyo tu inajionyesha dhahiri kuwa anahitaji ' Ndumba ' ya Kufa Mtu ili ' Nyomi ' liwepo Ukumbini kwani hivi hivi anaweza akajikuta anaimba Yeye huku Mbuzi, Ng'ombe, Kuku na Bata wakimtizama badala ya Wanadamu.
Kwa post hii ya ' Kimakusudi ' na ' Kichokonozi ' najua sasa mtakuja rasmi na Mimi leo nina hamu sana ya ' Kuparurana ' nanyi na hivi Meneja wake / wenu Mkubwa Fella kathibitisha mwenyewe mubashara Clouds TV leo ' mtanikoma ' hakyanani Team Ndomo.
Na kitendo chake cha kwenda ' Kumshitaki ' mwana Dimpoz mwenzangu Ommy Central ndiyo kumenitibua na kunikasirisha kabisa juu ya huyo Mpuuzi wenu. Hivi mambo ya Chumbani tena ya Sirini Mwanaume uliyekamilika kweli kila siku asubuhi ' Mnara wako wa Babeli ' namaanisha Mkuyenge wako unasimama unaweza kumpeleka Polisi Mwanaume mwenzio kwa mambo ya Sirini / Faragha?
Amenichefua sana na nilikuwa namtafutia tu ' angle ' na hatimaye leo Mkubwa Fella amenianzishia. Namshukuru sana.
Team Ndomo mpo wapi?