Exclusive: Mwaikagale plagiarized a Mozambican author?

Nasikia Mkapa alimtumia vijana nyumbani kwake waliompa kipigo kweli kweli.

Jasusi,

Ilikuwa ni baada au kabla ya Jenerali Ulimwengu kunyang'anywa uraia na Mkapa? Nakumbuka watu walipokuwa wanamcheka Ulimwengu kuhusu tatizo hilo la uraia.

Hata ikiwa amegombana na viongozi wetu, na kuna ambao wanasema Jenerali Ulimwengu ana majivuno, hiyo kwelii ni sababu ya kusema siyo raia? Hiyo pia ni sababu ya kumweka kizuizini? Sijui kwa nni aliwekwa kizuizini.

Lakini nadhani Ulimwengu ananyanyaswa kwa sababu ni outspoken. Mbona hawakusema kabla ya hapo kwamba si raia? Waligundua lini kwamba si raia kwa sababu wazazi wake hawakuzaliwa hapa na walihamia Tanzania (au Tanganyika wakati ule) kutoka Rwanda?
 
Dr. Eduardo Mondlane alizikwa Kinondoni Cemetery February 1969. Watu wengi walihudhuria mazishi hayo. Wanafunzi wachache kutoka Tambaza tulikuwa miongoni mwao pamoja na mabalozi, viongozi wa serikali, na wapigania uhuru kutoka nchi za Afrika Kusini.

Aksante kwa ufafanuzi mkuu. Hapa nina swali, hivi Dr Eduardo Mondlane aliuawa sehemu gani Dar? Nilisoma tu sehemu kuwa alifariki kwa bomu ambalo alitumiwa kama barua/kifurushi kwa njia ya posta. Ila mwandishi hakusema ni sehemu gani. Kuna ukweli katika hilo? Unaweza kutufahamisha zaidi?
 
Bado mimi napata shida sana katika kujua kama ameiba kazi au vipi?? maana kama amefanya hivyo.basi ni kosa kuwa sana katika uandishi hata academia nyingi sana
 

Aliuawa nyumbani kwake Oyster Bay alipokuwa anafungua kifurushi hicho mezani. Nilisikia kifurushi hicho kilikuwa ni kitabu ambacho kurasa zake fulani zilikatwa ili kuficha bomu hilo lililolipuka na kumuua. Inasemekana kilitumwa na Portuguese secret service kutoka Japan to cover their tracks and evade suspicion kwamba kimetoka kwao. Others can confirm that but I heard from very good sources.

Intelligence service yetu in those days had an excellent reputation as one of the best in Africa - and may be in the whole world. Walikuwa macho sana lakini for some reason they missed that one. Nobody is perfect. Even major intelligence services in the world such as the CIA, the former KGB, M-15, Mosaad, Chinese Intelligence and others are not perfect.
 
unaweza kuona jinsi gani waliweza fanya katika Taifa letu
 
Josh Michael said:
Wewe tena umetoa wapi habari hizi, Unajua kuna waandishi wengi sana Tanzania hivyo uje na dataz za kueleweka

Josh,

..kuna habari nyingine tunasikia kwenye vilabu vya ulaka na wanzuki. tunazileta hapa jamii forums na ku-test kama ni za kweli au la.

..katika post yangu nilieleza kwamba sina uhakika na habari niliyoleta. nikaeleza bayana kwamba tumsubiri Shwari atakuwa na jibu la uhakika. sasa Shwari amekuja na habari tofauti na kile nilichosikia kwenye vilabu vya ulaka na wanzuki ndiyo maana nika-delete post yangu.

..SAMAHANI KAMA NIMEKUKWAZA.
 
Hata mimi nilishangaa sana Kuona kuwa mzee Mwanakijiji ameleta habari kama hiyo na pia naona kama vile imetoka kwenye gazeti moja la huko Msumbiji na pia kama ndio hivyo Shwari anaweze kutusaidia pamoja na Mwanakijiji wote pamoja, jaribu kutazama sources ambayo Mzee Mwanakijiji ametoa ndio unaweza kuona, labda nifanye utaratibu wa kupata kitabu chote
 

Josh Michael,

..nili-post wrong info kuhusu nyumba/mahali alipouawa Dr.Eduardo Mondlane. ndiyo maana nikalazimika ku-delete nilichoandika.

..off course, kupata ukweli wa madai yaliyoelekezwa kwa Mwakikagile inabidi upate makala ya kitabu chake na vilevile ujielimishe kuhusu sheria za plagiarism. baada ya hapo ndipo utaweza kutoa an informed judgement.

..binafsi namshukuru Mwanakijiji kwa bandiko lake. pia namshukuru Shwari kwa darasa analotoa kuhusu Mondlane, which is in fact going of the topic. mara nyingi huwa tunalaumu watu wanapokwenda nje ya topic, but not in this thread.
 
Sio hivyo tu kuna privacy law ambazo zipo Kimataifa nafikiria kuwa wasomi wetu wengi sana hata katika PhD zao wanafanya hivi hivi, ni mbaya katika ulimwengu wa uandishi bila ya kuweka citation za mtu wa kwanza au kama umedevelop mwazo lake
 
Tuna vishua humu, Tambaza 1969?

Wewe umepita pale na Ganesh nini? Maana siku hizo ndiyo kwanza wameichukua kwa Agha Khan.
 
That's how and what most of the Tanzania writer are and do!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…