usiweke link za blog zako bila kupata ruhusa....mwenzio kapumzishwa kwaajili ya haya haya...
Mod wanamuona tu...usiweke link za blog zako bila kupata ruhusa....mwenzio kapumzishwa kwaajili ya haya haya...
Kwanza huo wimbo wenyewe hauonekani.
Halafu anategemea ahit international jina lenyewe tu la mwenelumango kipusa ndo nini..Afu kipusa ndo nini sasa,mbona kama hii ngoma ni ya kitambo???
Eti kipusa...hii haina tofauti na KATA KATA LETAHalafu anategemea ahit international jina lenyewe tu la mwenelumango kipusa ndo nini..
Halafu akipigwa ban ana anza kulialia kuonewa...Mod wanamuona tu...
Hivi uliwah kuskiliza kipindi cha chemsha bongo? Alichokua anakuhenyesha Abdalah majura?Alikiba ni msanii aliyefanya vizuri kwa hit sings zake kama Aje,Mwanadrsm,Nagharamia n.k alikaa kimya kwa muda takribani mwaka mmoja.
Baada ya makelele ya mashabiki zake kutaka new joint Alikiba jana alipost cover yenye jina la kipusa,bado haijajulikana kama ni new song ama laaa lakini mashabiki wamepokea tofauti project hii mpya.Ushauri wangu kwa Alikiba hili jina kipusa limekaa kihuni sana tafuta jina lingine.Ni hayo tu
great thinker