Exclusive:Ngoma mpya ya Ali kiba "Kipusa"

Exclusive:Ngoma mpya ya Ali kiba "Kipusa"

f783a86854afcb6ebb72ab4b389ec176.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa king kwa kujifariji..
Mimi sina ushabiki kwanza kabisa nyimbo zangu ni za enzi zileeee

Mliman ochestra band
Otu jazz band
Kilimanjaro jazz band

Hizi za siku hizi sina hata moja niipendayo. Ila tuu nawashangaa sana mnasema kipusa eti uhuni.

Vipi huyo aloimba Kila kitu K? Ina maana Gani?

Je aliyeimba mwanaume mashine, ama zungusha? Ama eneka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kumfurahisha kila mtu otherwise utakua mtumwa
 
Hivi uliwah kuskiliza kipindi cha chemsha bongo? Alichokua anakuhenyesha Abdalah majura?

Kipusa ulikisikia? Na unakijua shughuli yake?

Eneka na kipusa kipi ambacho uliwah kukiskia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunajadili kipusa na si Eneka wewe acha mahaba hayo.Kwa upande aa lugha za mtaani kipusa inabeba maana ambayo si nzuri masikioni mwa watu

great thinker
 
Mimi sina ushabiki kwanza kabisa nyimbo zangu ni za enzi zileeee

Mliman ochestra band
Otu jazz band
Kilimanjaro jazz band

Hizi za siku hizi sina hata moja niipendayo. Ila tuu nawashangaa sana mnasema kipusa eti uhuni.

Vipi huyo aloimba Kila kitu K? Ina maana Gani?

Je aliyeimba mwanaume mashine, ama zungusha? Ama eneka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kupitia na mifano hiyo ndo inampa uhalali kiba kuleta matusi masikioni mwa watu.?kosa ni kosa tu haijalishi limefanywa na wangapi

great thinker
 
Kwani kaandika wapi hilo jina ni la wimbo wake mpya ???


Hizo akili mbona ni za kuvukia barabarani

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
We kweli bwege, kwahiyo kama uswahili kwenu ni tusi unadhani na mitaa mingine ni tusi..
Tujadili kwa staha mkuu.Sio kitaa chetu karbu kote kwa town
Maybe kama unakaa bush

great thinker
 
Mimi sina ushabiki kwanza kabisa nyimbo zangu ni za enzi zileeee

Mliman ochestra band
Otu jazz band
Kilimanjaro jazz band

Hizi za siku hizi sina hata moja niipendayo. Ila tuu nawashangaa sana mnasema kipusa eti uhuni.

Vipi huyo aloimba Kila kitu K? Ina maana Gani?

Je aliyeimba mwanaume mashine, ama zungusha? Ama eneka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie nyimbo mbili tu za Kilimanjaro band...unazozifahamu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAMUSI YA KARNE YA 21 UKURASA WA 221 INASEMA KIPUSA NI PEMBE INAYOOTA KATIKA SEHEMU YA PUA YA FARU AMBAYO INA THAMANI KUBWA, maana ya pili ni MWANAMKE WA UMRI WA MAKAMO, MWENYE SURA NA UMBO LA KUVUTIA, MREMBO, KIDOSHO, haya mtoa mada toa huu ushuzi haraka
 
9f03c82dbca5847d84c46714bf1d7120.jpg



Ushauri wangu kwa Alikiba hili jina kipusa limekaa kihuni sana tafuta jina lingine.Ni hayo tu
(KISWAHILI - KIINGEREZA)Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam..png



Msipende kuandika tu na kukosoa ilihali uwezo wa kupambanua ama kufahamu jambo ni mdogo

Hiyo ni kamusi ya KISWAHILI SANIFU - TUKI (UDSM)
 
Mh nijuavyo mimi Kipusa ni kitu adimu, mfano pembe ya faru etc.
 
Mh nijuavyo mimi Kipusa ni kitu adimu, mfano pembe ya faru etc.
Mitoto ya siku hizi imekimbia shule inajikuta mizuri ya kuharibu lugha na ukiiletea misemo ya kiswahili unaipoteza..wanasema katika wasanii wanaotumia kiswahili fasaha mmoja ni alikiba..rejea dushelele alimfuata mtaalam wa bakita kuuweka matamshi vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAMUSI YA KARNE YA 21 UKURASA WA 221 INASEMA KIPUSA NI PEMBE INAYOOTA KATIKA SEHEMU YA PUA YA FARU AMBAYO INA THAMANI KUBWA, maana ya pili ni MWANAMKE WA UMRI WA MAKAMO, MWENYE SURA NA UMBO LA KUVUTIA, MREMBO, KIDOSHO, haya mtoa mada toa huu ushuzi haraka
Watoto wa siku hizi wanashangaza sana! Kipusa ni kitu adimu, nakumbuka shuleni mtu mtoro anaetafutwa na mwalimu tulikuwa tunamuita kipusa.
 
Hahaaa bila shaka umekrem nymbo ya salome ya wcb af unasema kipusa kiuni

rap beast
 
Back
Top Bottom