Exclusive picture - Miss REDDS TZ 2010

Exclusive picture - Miss REDDS TZ 2010

attachment.php

mtoto kama amepakwa asali...kaaaa!

halafu unaleta habari za kondom sehemu kama hiyo..!
 

Katika mabinti wote walioshinda miss Tanzania namkubali Miriam ni mrembo wa haja na anajiamini,pia hajaharibu ngozi yake kwa madawa kama sio ile skandali ya kufungwa ambayo BF wake aliisababisha angekuwa hana doa katika jamii.
 
Mfukunyuzi picha bado hazijesha unaanza porojo
hebu mwaga picha hapa. mie natoka kidogo kufuata geisha dukani kwa mangi. nikute picha hapa na si hadhithi ebo!!
 
Mfukunyuzi picha bado hazijesha unaanza porojo
hebu mwaga picha hapa. mie natoka kidogo kufuata geisha dukani kwa mangi. nikute picha hapa na si hadhithi ebo!!
Hahahahaha msanii umenivunja mbavu:becky::becky::becky::becky: duh unataka za kuvutia stimu nite sio:becky:
 
attachment.php


Huyu mdada wa ukweli kinoma angekuwa chini ya Maria Sarungi angefika mbali Miss World 2009
 

Attachments

  • 112.jpg
    112.jpg
    124.8 KB · Views: 199
umevutiwa nae sana?
unayo namba yake unipe nimweleze?
 
Iliyobaki ni kupigia marufuku tu maana yamekaa kama vile kuwauza na kuwanadi wadada za watu mbele ya kadamnasi ambayo imejaa pia mapedeshee wenye njaa ya new products
 
More pic pls....Mfunyukuzi, nitafute B'dae nikupeleke lunch umeipendezesha siku yangu leo.
 
Back
Top Bottom