Mzee ES, pleeaassee!!!!
EL kutishia 'kujiua'? I have known EL for over 25 years na kusikia/kuona mambo yake mengi sana, na hii ni mpya toka kwako Mzee ES.
I stand for what I said mkuu, kuwa kwenye juhudi za kutaka kuizuia ripoti, mkuu alijaribu kila mbinu, ya kutishia kujiua ikiwa ni majowapo, lowassa sidahni kama unamjua mkuu, kama ninavyomjua na soo zake, ndio maana nilisema mapema kuwa hatapewa u-makamu wa ccm, na hakupewa, nikasema kuwa anahusika na acid, juzi Mwakyembe ameiweka kwa ujanja kwenye ripoti yake, off course ni mpya toka kwangu, maana hazijawahi kutoka kwako mkuu.
Report ya Richmond ilikabidhiwa kwa Speaker na siyo JK. Hii ni report ya Kamati Teule ya Bunge na si Tume ya Raisi. Speaker, as a courtesy, aliwapa copy Ikulu baada ya kuomba na ndiyo copy aliyopata EL kupitia Ikulu. JK hakupewa copy na HM (hao Brass sijui).
Ripoti ya bunge kama unavyosema, muungwana alienda Dodoma kufanya nini mkuu? Sitta, kwa nini hakuenda safari yake kama alivyotangaza mapema? Lowassa kwa nini hakuenda kumpokea rais uwanjani kama ilivyo kawaida yake? mkuu kaangalie tena source zako!
Capt. George Mkuchika, army reject, ex-DC Ilala (kanyanyaswa sana na KK/Keenja in the 90's)ambaye kasaidiwa na 'shemeji' kupata u-MP Newala juzi juzi baada ya Akukwetu kufariki, sasa ni 'mtu wa brass' watching over JK na EL!!!!!
Mkuchika, alitakiwa awe spika, badaye alitakiwa awe katibu wa bunge, yote haya alizuiwa na mtandao, wakamuweka Ameir na Sitta, sasa nani aliyempa unaibu katibu ccm? Nani aliyempa uwaziri? Akukweti, alishindwa mara mbili na Mkuchika lakini mtandao wakamuondoa jina, mbona bado yupo tu mkuu haendi kokote?
Hakuna mtu hapa wa kuku-wake up, endelea kulala tu mkuu! sisi wote huku tumeamka mkuu, isipokuwa wewe tu!
Mazengo Pinda was never, I repeat never, in consideration kwa u-PM at any stage of his political life hadi Jnne usiku last week.
Mkuu hata protocol za serikali hazisemi hivyo, waziri mkuu mtarajiwa hufahamishwa at least a week kabla, kwa sababu lazima ahojiwe na rais in advance, pamoja na uwt kwa hiyo unaonekana huelewi hata how the system works mkuu, basi uliza uelezwe, badala ya kubisha.
Muungwana is the BRASS, period.
(I bet you can not name two so-called Brass, and I wonder where do these Brass meet to make such history altering decisions).
Muungwana the only brass? basi Msekwa asingekuwa makamu wa ccm, Shein asingekuwa makamu wa rais, Nahodha asingekuwa waziri kiongozi ZNZB, Makamba asingekuwa katibu wa ccm, Lowassa angeeendelea kuwa pm, Rostam angeendelea kuwa mweka hazina, na asingeshindwa NEC, mkapa angekluwa jela tayari, ni simple politics za nchi yako mkuu nazo mpaka tuwafundishe?
Sikubaliani ki-siasa na vitu vingine vya EL kama vita vya JSM, Ndejembi, Membe, Kitine, n.k., ila kwa Richmond angeamua ku-fight it out ingempeleka yeye na rafiki zake JK na RA pabaya sana.
Richmonduli tayari inawepeleka pabaya Rostam na Lowassa, not muungwana, kwa sababu hahusiki na huo wizi, angehusika asingemtukana lm kama mtoto, asingekwenda Dodoma kufuatilia ripoti ya Mwakyembe, Lowassa angeendelea kuwa waziri mkuu, Karamagi asingeenda kokote mkuu!
Mzee ES, sitaki ku-question credibility yako kwani in JF one believes what one believes.
Labda u-question credibility yako mkuu, maana ya kwangu inaeleweka mkuu, kuna watu humu ndani wakiuliza kuhusu dataz zangu ninaweza kushituka, lakini sio wewe na majina yako mengi mkuu,
Have a nice day!