* Exclusive Scoop *


Kuwa kichekesho ni sehemu ya JF kwani ni mahala pa kuburudisha, lakini kuwa muwongo kama wewe sio sehemu ya JF ndio maana unakuwa wakuonewa huruma tu na hizo "diar-rhoea postings" zako...
 
The greatest lesson in life is to know that even fools are right sometimes


Kuwa kichekesho ni sehemu ya JF kwani ni mahala pa kuburudisha,

Yaaani hapa JF kwako ni mahali pa kuburudisha, wakati wanaume tunajadili taifa, wewe unakuja kuburudisha, no wonder hizo quote zimeandikwa na mtu mmoja,anayekuja hapa kuburudisha!
 
Yaaani hapa JF kwako ni mahali pa kuburudisha, wakati wanaume tunajadili taifa, wewe unakuja kuburudisha, no wonder hizo quote zimeandikwa na mtu mmoja,anayekuja hapa kuburudisha!

Si unaona unavyojiabisha.. saha ile sehemu ya burudani hapa JF kazi yake nini? ukiambiwa una mawazo mgando unakuwa mbogo...
 
Hapa ni mahali pa kukata ishus, sio kuburudisha, lowassa ametoka kwa kupigwa mawe kutoka hapa, hakutoka kwa kuburudishwa, hapa ni mawe tu mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…