Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.

Ngoja nidake fursa niwe apolo siera nipe kazi
 

Kiwewe hiki ama nini? Naona sasa umeamuwa kufunguwa madrasat hapa hapa? Tulia dawa ikuingie vizuri.
 
Hhhhhhaaaaaaaa ni shigidaaaaaa Linda wauweeeeeeee wengine wanatembelea mikono wakiona hilo guu lazima moyo uweweseke, sura nayo mashaalah ati
 
Linda yani nakupendaje...We mzuri bhanaa, kila wakati unacheka tu mwenyewe...hadi raha yani.

Kuhusu huu ugomvi...nakushauri achana nao, kama dawa umeshampa inatosha, ni wakati wako wa kunyamaza na kudharau kila kitu...

U a muslimah...nikukumbushe ile aya katika Surat Mu'uminuun, Allah anawasifu waumini kuwa ni wale ambao wakijiwa na watu na maneno ya kupuuzi husema AMANI (Hawajibu upuuzi)

Pia Mtume (SAW) anasema "Kama kuongea ni fedha (silver) basi kunyamaza ni dhahabu (gold)

Mnyamazie mama, imetoshaa....though kuna kipindi nlikushauri kwa kutumia ile aya "Na washambulieni kwa kiwango kile kile watachowashambulia"......hahahaaa bt mambo yanabadiloka ama neneee....
 

Mashallah..."Kumbushaneni hakika ukumbusho unawafaa wenye kuamini"

Jazaka llah kheir......ujumbe umfikie na mtaa wa pili....
 
Hhhhhhaaaaaaaa ni shigidaaaaaa Linda wauweeeeeeee wengine wanatembelea mikono wakiona hilo guu lazima moyo uweweseke, sura nayo mashaalah ati

Mzurii kama huyuuuu...yani hapo ana 50+
Mungu fundi jamaniii

http://youtu.be/345mQbJi42c
 

Acha kudharirisha dini wewe....mara utukane mara uweke maneno ya Allah....wacha utani na mzaha plz.Toa kwanza chuki na inda
 
Linda you rock! You are way so far, acha league na psycho awaye yote...they are outta league and so envious, its not ur gadem problem that u r lucky! Ila id yako itavamiwa...bad idea! Luv u....kama humpendi Linda just kufwa for meeee
 
Acha kudharirisha dini wewe....mara utukane mara uweke maneno ya Allah....wacha utani na mzaha plz.Toa kwanza chuki na inda

Teh teh teh huyo anafikiri kitabu cha Mungu kama gazeti.
Sifa kuu 3 za mnafki kwa mujibu wa quran.

{1} Akiongea husema Uongo
{2} Akiaminiwa Haaminiki
{3}Akitoa Ahadi Hatekelezi

Izo ndizo sifa 3 kubwa za Mnafki!!
 
Sifa kuu 3 za mnafki kwa mujibu wa quran.

{1} Akiongea husema Uongo
{2} Akiaminiwa Haaminiki
{3}Akitoa Ahadi Hatekelezi

Izo ndizo sifa 3 kubwa za Mnafki!!

Ha ha ha kazi kweli....ubinadamu kazi aisee.Yaan mtu unajitekenya na kucheka mwenyewe
 
Leo post moja utairudia hata mara 100 na bado utaweweseka sana.

Hata akiirudia Mara mia inahusika nn na uzuri Wa Linda?
Ooh yes those shit are true so wht ?she fought hard and smart n look WHR she is now "home of everyone dream",yuu esi eiiii
Mpwa let haters hate they won't change the game because hating is all they can do
 
Haya haya..... Matola hivi miguu mizuri ina utamu wake?au Pasco wayajua matumizi mengine zaid ya kutembelea.?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…