Sio vita....mpaka unajiandaa kula bann...Linda has nothing to explain to us hatumpi kula wala kunya! IF its the issue of explanation mbona na nyie team fukufuku has a lot to do! ! Anyways somebody is depressed....
Kwakwakwaaaa hivi mtoto ulimpa uji kweli??nakuona ulivyobaki moja shoga angu hata vipodozi havikai??unatuzuga eti diet hahahaaaaa!hivyo viguu sasa??utasema ukienda hatua mbili vyavunjika loh!badilikaaa
Una uhakika simjuiiiii? Kwa hio Mange ndo alimjibia akamuwekea maneno kuhusu PACHA? Alichukua pas word ya Insta akaingia kujibu na KUTUONDELEA REASONABLE DOUBT?????????? :shock::shock::shock:. Walau Stella alikaa kimya mpaka leo imebaki speculation.
Ningekua mimi Linda ningeacha haters wanengueee wee simjibu mtu wala siexplain kitu mara ya pili, when somebody devots to find fault in you wallah akimaliza ya nje atakuja ya ndani....haters are like "Wwoooow! She is awesome but I HATE HER...av got to hate SOMEBODY!"
Basi utakuwa taahira kama yeye kama unamjua mange na unamtetea basi asante lakini pia kuna watu tunamjua mpaka biashara alokuwa anaifanya dubai na hata alivyofiwa na mamake ni kina nani walomchangia nauli ya kuja bongo
And we have the TIME and BUNDLE too! Why not? Hapa tukimpa kamba vizuri dakika tu utaskia yallaaaaaah!
Basi utakuwa taahira kama yeye kama unamjua mange na unamtetea basi asante lakini pia kuna watu tunamjua mpaka biashara alokuwa anaifanya dubai na hata alivyofiwa na mamake ni kina nani walomchangia nauli ya kuja bongo
Sio vita....mpaka unajiandaa kula bann...Linda has nothing to explain to us hatumpi kula wala kunya! IF its the issue of explanation mbona na nyie team fukufuku has a lot to do! ! Anyways somebody is depressed....
Nilibahatika kumuona Zari pale speke resort miguu yake inatisha.ni mfupi mnooo.hiyo miguu uione kwenye picha ikiwa laivu kama anaumwa matende.nampenda Zari ila kwa ile miguu,hapana.
OOOH REALLYYYYYY! She has nothing to explain WHY START A THREAD THEN? huh Uzi no exclusive about the Truth ya Linda. Sisi tukihitaji tutaanzisha Uzi maalumu like so far no need!
Mashallah..."Kumbushaneni hakika ukumbusho unawafaa wenye kuamini"
Jazaka llah kheir......ujumbe umfikie na mtaa wa pili....
Ningekua mimi Linda ningeacha haters wanengueee wee simjibu mtu wala siexplain kitu mara ya pili, when somebody devots to find fault in you wallah akimaliza ya nje atakuja ya ndani....haters are like "Wwoooow! She is awesome but I HATE HER...av got to hate SOMEBODY!"
Acha kudharirisha dini wewe....mara utukane mara uweke maneno ya Allah....wacha utani na mzaha plz.Toa kwanza chuki na inda
Huyo linda ndio nani , ana kitu gani au sifa gani ya kipekee?? Au ni hao malaya tu wanaojiuza huko mnakuja kutupasua nao vichwa hapa??? Tafadhalini sana bwana
Really, please quote at least once nilipotukana.
DONT DRIFT FROM THE TOPIC! TOPIC NI EXCLUSIVE ABOUT LINDA! MANGE ANAINGIAJE HAPAAA? MBONA MNAPOTOSHA UZI? Mimi sipendi mjue! NACHANGIA TOPIC ILIYOPO AFU MANITOA KINGUVU KWENDA TOPIC ZINGINE. Afu nyie ndo wachochezi Wa ma beef Uzi unamhusu Linda mnaanza kujadili wtu wengine mnasababisha mwenzenu achambwe. STICK TO THE TOPIC PEOPLE.
Hivi ile list ya kugombana na watu karibia 60 ,,,yaan kweli mtu mmoja unakosana na watu wote haoo ,,Mwamy kajikalia pembeni kabisaaaa, ,tukiangalia list hiyo utajua nani mwenye problem