Ndugu wa Trump
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 958
- 703
Hana kazi za kufanya Siku hizi kajipeleka Kenya, harambee haalikwi kafuliaKwa taarifa yako wabunge wa Kenya ambao wapo ndani ya Rift Valley region ndio waliomfata Lowassa hadi Monduli kuja kutafuta support, kwa Mzee asie na kinyongo,na asie taka makuu.
Ajabu ya mwaka mpinzani kushangilia chama tawala Kenya,wakati mpinzani mwenzake analalamika kuchezewa rafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kura za uraisi wa Kenya zinakuja kuombwa Monduli?Kwa taarifa yako wabunge wa Kenya ambao wapo ndani ya Rift Valley region ndio waliomfata Lowassa hadi Monduli kuja kutafuta support, kwa Mzee asie na kinyongo,na asie taka makuu.
Hayo kwa wana ccm wanaona siyo maajabuMaajabu zaidi yalianzia pale Odinga akiwa Mpinzani mkuu Kenya alipoamua 2015 Kutowaunga Mkono wapinzani UKAWA badala yake akaunga Mkono CCM chama tawala kwa sababu Magu ni rafiki yake.Au hayo sio maajabu kwako boss?
Uvccm mmechanganyikiwa zaidi baada ya wakenya kuwakataaUliwahi kumuona Odinga kapanda kwenye jukwaa LA kampeini za ccm, bavicha bwana mmechanganyikiwa kam lowasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Odinga huu ni uchaguzi wa ngapi anashindwa ?ODINGA JIFUNZE KUCHAGUA MARAFIKI. HILI NI FUNDISHO NA KWA WENGINE
Sent using Jamii Forums mobile app
Dua za kuku hizo na ndiyo mjifunze kuchagua marafikiTusibiri tu. Hamtapata amani Kenya mzima.
Matokeo ya Kenya yamenogeshwa na ushiriki wa watanzania kwa 100%Mmewakataa wapi maccm? Hangaikeni na mambo yenu Magi kawabana sasa mnapumulia Kenya,bavicha MNA mambo nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
which god nyinyi mijambazi. Hata pastors wenu ni kama nyinyi tu! NyokaDua za kuku hizo na ndiyo mjifunze kuchagua marafiki
In God we trust
Huu sasa ndo utakuwa muhula wake wa nne akiwa kiongozi rasmi wa upinzani! Hehe!Odinga huu ni uchaguzi wa ngapi anashindwa ?
Hii ime mcost sana Raila
Chagua rafiki anayekubalika nawe utakubalika nduguwhich god nyinyi mijambazi. Hata pastors wenu ni kama nyinyi tu! Nyoka
Tumechoka kuwangoja,fanyeni haraka tumalize huu mchuano mapema twende kazi zinginewhich god nyinyi mijambazi. Hata pastors wenu ni kama nyinyi tu! Nyoka
Wala hamna haja ya kwenda CHATO hatakiwi kwenda ajikaze kiume huko huko KENYA na walompigia kura!
YA LOWASSA yamepita tuangalie ya sasa ambapo SIZONJE anaunga mkono upinzani ya NASA afu ya kwake anakandamizyee[emoji85]