EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Tume ya Huru ya Mipaka na Uchsguzi Kenya ime-prove kuwa thousands miles ahead ya Tume ya Lubuva. Wakenya na serikali yao wametambua thamani na maana ya uchaguzi kuwa wa haki na huru. Tangu kampeni wagombea wote walitii sheria, hata Rais Kenyatta, nilishuhudia saa 12.00 jioni amefunga mkutano wa kampeni kama sheria inavyotaka, yaani tofauti kabisa na huku kwetu.

Ktk uchaguzi unaoondeshwa kwa uwazi wa namna hii na tume ya namna hii, wapigakura na wananchi kamwe hawawezi kubali kushawishiwa kuingia barabarani na kuleta vurugu. Tanzania lazima tujifunze kwa wenzetu wa Kenya, tusisubiri hadi tuingie kwenye vurugu za uchaguzi. Mwenye akili hujifunza kutokana na makosa na mafanikio ya jirani yake.

Vv
Huku kwetu wanaamini watatudhibiti tu.
 
Hakuna kitu cha hovyo kama uchaguzi, kwa nchi za africa ni upumbavu kabisa na wala simshauri mtu ashiriki uchaguzi wa kisiasa kama hajajiandaa kupigana OVER
 
Chagua rafiki anayekubalika nawe utakubalika ndugu

In God we trust
904995d8f0654d34479f92eef78482fc.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
lakini Laila anadanganywa na wapambe wake waliodhani atashinda! jamani kwa nyakati za leo watu wanaenda pia na haiba ya mtu. hivi kweli wataacha kuchagua mutoto wa mujini wamchague mtu toka kule porini? Je alikuwa vetted na "Muthaiga club"?🙁😛😀🙂
kweli wa africa wanafanana kiakiri hivi unaweza kumchagua mtu kwa kuwa yupo kimjini mjini?
 
watu waliopo madarakani huwa ni wajanja sana hapo utakuta ngome zile kaunti za odinga hasa count za pwani kura zimisha hesabiwa
 
Tume ya Huru ya Mipaka na Uchsguzi Kenya ime-prove kuwa thousands miles ahead ya Tume ya Lubuva. Wakenya na serikali yao wametambua thamani na maana ya uchaguzi kuwa wa haki na huru. Tangu kampeni wagombea wote walitii sheria, hata Rais Kenyatta, nilishuhudia saa 12.00 jioni amefunga mkutano wa kampeni kama sheria inavyotaka, yaani tofauti kabisa na huku kwetu.

Ktk uchaguzi unaoondeshwa kwa uwazi wa namna hii na tume ya namna hii, wapigakura na wananchi kamwe hawawezi kubali kushawishiwa kuingia barabarani na kuleta vurugu. Tanzania lazima tujifunze kwa wenzetu wa Kenya, tusisubiri hadi tuingie kwenye vurugu za uchaguzi. Mwenye akili hujifunza kutokana na makosa na mafanikio ya jirani yake.

Vv
Tujifunze yote lakini kamwe tusithubutu kujifunza kuwaua wataalam wa IT; OVER!
 
Yaani bora tu Uhuru ashinde.
Yah Octo ni Mjaluo. Hata sisi watu wa Pwani we are behind Raila but sio kwa kutoa lugha chafu namna hiyo. Huo ni uchochezi. I preach PEACE.
Bora upreach tu PEACE,msikubali mkapiganishwa wenzenu watakimbiza familia zao nje ya nchi nyie mtaambulia vilema. Kuweni wapole kama siye majirani zenu.
 
At a press conference today, the Opposition leader claimed hackers used the late Chris Msando's identity to access IEBC systems. "We have caught them. Hackers gained entry into the election database through Msando's account and directly into chairman Wafula Chebukati's account," he said.

Democracy African style.
 
Back
Top Bottom