Exclusive: Ushauri wa Haji Manara kwa TFF, Bingwa wa Z'bar ashiriki CAFCL

Exclusive: Ushauri wa Haji Manara kwa TFF, Bingwa wa Z'bar ashiriki CAFCL

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Huu ni ushauri wa kusisimua. Kwa kuwa tuna nafasi 2 CAFCL basi Bingwa wa Zanzibar ashiriki na bingwa wa bara (ambaye kwa msimamo ulivyo inaweza kuwa Yanga 🤣🤣🤣).

Simba na wenzake wabakie kombe la CAF, tutoe nafasi kwa wenzetu
 
ALIYEWAPA JINA LA MBUMBUMBU ALIONA MBALI SANA PONGEZI KWAKE.

Unakataa m200 kwa mwezi tena ya maudhuhi tu ya TV unashangilia m70 ya ubingwa kwa msimu mzima. Hii ni akili au matope?

Unakataa m200 ya maudhuhi ya TV kwa mwezi unakubali kugawa timu milele kwa familia kwa B20 tena hujapewa unazungushwa tu. Mkiitwa mbumbumbu ni vibaya?

Mchezaji anayelipwa pesa nyingi pale Mikiani ni chama anapokea m18 kwa mwezi sasa piga mahesabu ungelipa wachezaji wangapi wazuri kwa mwezi hiyo m200 hau hilo hamfikilii?

SIYO KISA MMEITWA MBUMBUMBU NDIYO MTUONESHE UMBUMBUMBU WENU BADILIKENI MNATAKIWA MUAMKE.
 
View attachment 1849449

Huu ni ushauri wa kusisimua. Kwa kuwa tuna nafasi 2 CAFCL basi Bingwa wa Zanzibar ashiriki na bingwa wa bara (ambaye kwa msimamo ulivyo inaweza kuwa Yanga 🤣🤣🤣).

Simba na wenzake wabakie kombe la CAF, tutoe nafasi kwa wenzetu
Na nyie mkiona ameongea ujinga muwe mnampotezea, mnapoleta upuuzi wake huku mnamdhalilisha tu.
 
Young Africans wameshasajili straika matata hapo pichani
FB_IMG_16259216775531784.jpg
 
Ushauri makini huu kutoka kwa msemaji wa timu bora na kubwa Africa.
 
View attachment 1849449

Huu ni ushauri wa kusisimua. Kwa kuwa tuna nafasi 2 CAFCL basi Bingwa wa Zanzibar ashiriki na bingwa wa bara (ambaye kwa msimamo ulivyo inaweza kuwa Yanga 🤣🤣🤣).

Simba na wenzake wabakie kombe la CAF, tutoe nafasi kwa wenzetu
mbona bingwa wa Zanzibar ana nafasi yake CAF CL au mnakurupuka
 
ALIYEWAPA JINA LA MBUMBUMBU ALIONA MBALI SANA PONGEZI KWAKE.

Unakataa m200 kwa mwezi tena ya maudhuhi tu ya TV unashangilia m70 ya ubingwa kwa msimu mzima. Hii ni akili au matope?

Unakataa m200 ya maudhuhi ya TV kwa mwezi unakubali kugawa timu milele kwa familia kwa B20 tena hujapewa unazungushwa tu. Mkiitwa mbumbumbu ni vibaya?

Mchezaji anayelipwa pesa nyingi pale Mikiani ni chama anapokea m18 kwa mwezi sasa piga mahesabu ungelipa wachezaji wangapi wazuri kwa mwezi hiyo m200 hau hilo hamfikilii?

SIYO KISA MMEITWA MBUMBUMBU NDIYO MTUONESHE UMBUMBUMBU WENU BADILIKENI MNATAKIWA MUAMKE.
Mbumbumbu na NYANI / MBWA wa kubwekabweka nan HATARI. Yule aliyekuwa kocha wenu (MZUNGU) MUNGU AMBARIKI KWA UONO WAKE JUU YENU
 
ALIYEWAPA JINA LA MBUMBUMBU ALIONA MBALI SANA PONGEZI KWAKE.

Unakataa m200 kwa mwezi tena ya maudhuhi tu ya TV unashangilia m70 ya ubingwa kwa msimu mzima. Hii ni akili au matope?

Unakataa m200 ya maudhuhi ya TV kwa mwezi unakubali kugawa timu milele kwa familia kwa B20 tena hujapewa unazungushwa tu. Mkiitwa mbumbumbu ni vibaya?

Mchezaji anayelipwa pesa nyingi pale Mikiani ni chama anapokea m18 kwa mwezi sasa piga mahesabu ungelipa wachezaji wangapi wazuri kwa mwezi hiyo m200 hau hilo hamfikilii?

SIYO KISA MMEITWA MBUMBUMBU NDIYO MTUONESHE UMBUMBUMBU WENU BADILIKENI MNATAKIWA MUAMKE.
unachangia mada gani wewe Utopolo
 
Mbumbumbu na NYANI / MBWA wa kubwekabweka nan HATARI. Yule aliyekuwa kocha wenu (MZUNGU) MUNGU AMBARIKI KWA UONO WAKE JUU YENU
Bao lenyewe lile lilikua la mapema ila nashukuru limetunga ujauzito, tarehe 25 ni kuendelea tu kumkuza mwamedi tumboni so ntakupiga viwili tu my wife wangu
 
Back
Top Bottom