Exclusive: Wachezaji wa Uganda Cranes Okwi na Murshid wasema akipangwa Mkude katika Kiungo watafungwa Kiurahisi

Exclusive: Wachezaji wa Uganda Cranes Okwi na Murshid wasema akipangwa Mkude katika Kiungo watafungwa Kiurahisi

Hahaha Mkuu sitaki ugomvi mapema yote hii nitajitia gundu tu katika siku yangu,ila naamini hakuna sehemu yoyote,niliyo ku crash,resist au ku argue juu ya thread yako nashangaa ugomvi wangu na wewe ni nini!!.

"An hero is he who controls his soul in a temper state"

Sent using Jamii Forums mobile app

Endelea tu Kujijaza mwenyewe katika ' Frame ' ili ' nikuwashe ' vizuri halafu uanze Kunilalamikia, Kunilaumu na Kuninunia.
 
Uliwahi kudanganya watu humu Eti wewe ni mjukuu wa Nyerere ni matusi Makubwa kwa Baba wa Taifa kuwa na mjukuu mswahili, popoma, kilaza ,kama wewe katafute sifa sehemu za wajinga kama wewe ila sio huku.
 
Kulikuwa na ulazima wa kutukana namna hii?
Jitafakari mkuu.
Let's make JF a better place for discussion and debating with strong logical arguments.

Wasikupe shida wala taabu hao Mkuu kwani nimeshwazoea na ninawamudu vilivyo hata wakiwa 100 hapa Jamvini kwa wakati mmoja. Siyo tatizo lao na wasamehe sana kwani kinachowasumbua hadi wanapata matatizo nami ni aina ya ' Ubarikio ' wa Kipekee alionibariki nao Mwenyezi Mungu huku pia akinizawadia na ' Shani ' zangu kadhaa hivyo mwishowe kunifanye niwe " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " kabisa.

Na kwa Kukuongezea lingine Mkuu ni kwamba hao Watu wote ambao unawaona huwa wananishambulia, wananidhihaki na kunitusi mara kwa mara 99.9% yao ndiyo hao hao huwa wakiingia tu hapa Jamvini ( Log In ) ni lazima tu watatafuta ' Uzi ' wangu mpya wa Siku hiyo wauone au watatafuta ' Bandiko ' langu lolote katika ' Uzi ' wa Mtu mwingine niliochangia. Hivyo najiona ni Mshindi Kwao kwani ' Logically ' tu haiwezekani Mtu ukawa humpendi na unamchukia GENTAMYCINE na kumuhubiria mabaya hapa 24/7 halafu bado ukawa unamfuatilia.

Akhsante sana na mno Mwenyezi Mungu kwa kunifanya GENTAMYCINE niwe hivi.
 
Ninachokiweka hapa na sehemu tu ya Maongezi yangu ya Kirafiki ambayo huwa nafanya na Wachezaji wengi wa Kiganda hasa hawa wanaocheza hapa Tanzania hasa kutokana na Historia yangu binafsi na hiyo nchi na Waganda kwa ujumla hali ambayo imenifanya niwe Rafiki yao wakiwa hapa Tanzania.

Katika ' Kuchati ' Kwangu na Wachezaji wa Kiganda wanaocheza pia Timu ya Simba akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wameonyesha Kukisifia mno Kikosi cha Taifa Stars na hasa hii ' Morale ' kubwa iliyopo huku wakisema kuwa hiyo Jumapili Kazi wanayo ila wakasema kuwa wanamuomba sana na mno Mwenyezi Mungu kuwa Kiungo Jonas Gerald Mkude ambao Wao wanamuona ndiyo ' Injini ' na ' bora ' kwa sasa nchini Tanzania asipangwe kwani kama akipangwa basi kwa aina ya ' Uchezeshaji ' wake kuna uwezekano mkubwa Wao ( Uganda Cranes ) wakafungwa mengi na Taifa Stars.

" Bother GENTAMYCINE naomba Mungu Mkude wetu huyu asipangwe na aendelee tu Kukaa benchi kwani kwa ninavyomjua na anavyojua Kuchezesha Timu kama akipangwa basi akina Samata, Msuva na Kichuya watatuumiza mapema mno na Waganda tutaumbuka. Tunamuogopa "...maelezo ya Okwi haya.

" Ssebo GENTAMYCINE huna Mganga ili utupeleke Waganda kusudi tumfumbe Macho Kocha Amunike asahau Kumpanga Mkude kwani kama kuna Mtu ambaye endapo akipangwa Siku hiyo anaweza kutibua Shehere yetu ya Kufuzu AFCON ni Yeye kwani ni Kiungo mwenye macho makali ya kujua wapi aupenyeze Mpira huku akijua Kutuliza Timu na nadhani hata Wewe Ssebo huwa unaona Timu yetu ya Simba ikiwa inacheza Kazi ya Mkude "....maelezo ya Murshid.

Akina GENTAMYCINE tukisema kuwa kwa sasa hakuna ' Defensive Midfielder ' bora hapa Afrika Mashariki kama Jonas Gerald Mkude kuna Watu huwa hamuelewi ila sasa kumbe hata Wachezaji wenzake wa Simba SC na wa Timu ya Taifa ya Uganda akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wamesema na kukiri kuwa ni Mchezaji mzuri, muhimu na amebarikiwa Kucheza sehemu ya Kiungo cha Chini ( Namba Sita )

Kazi Kwenu sasa mtakaopanga Kikosi cha Taifa Stars cha Jumapili dhidi ya Uganda Cranes ila Jonas Mkude ndiyo ' Lulu ' yetu.

Nawasilisha.
Nashangaa kwa nini Amunike ktk mfumo wake ambao mara nyingi ni defensive huwa hampangi Mkude.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa kwa nini Amunike ktk mfumo wake ambao mara nyingi ni defensive huwa hampangi Mkude.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiona Kitu chochote GENTAMYCINE anakipenda jua hata Mwenyezi Mungu na Malaika wake Mikaela na Jibrili nao wanakipenda vile vile tena kwa 100%. Kwa Tanzania ya sasa na hata Afrika Mashariki bado sijaona ' Talented Holding / Defensive Midfielder ' kama Mluguru Jonas Gerald Mkude. Simba SC sasa hivi tunaenda kupata ' Mamilioni ' kama siyo ' Mabilioni ' ya Pesa wa Kumuuza katika Vilabu vikubwa.
 
Coach Amunike aligundua ujanja wa Uganda hakumpanga mkude
 
Mbona mudathir ameupiga mwingi leo

Yeah, katika Game ambazo niliwahi mkubali Mudathid basi hii ndio numara uno... Ameupiga mwimgi sana pale kati ... Alituliza team, hakuwa na papara hata kidogo
 
Ninachokiweka hapa na sehemu tu ya Maongezi yangu ya Kirafiki ambayo huwa nafanya na Wachezaji wengi wa Kiganda hasa hawa wanaocheza hapa Tanzania hasa kutokana na Historia yangu binafsi na hiyo nchi na Waganda kwa ujumla hali ambayo imenifanya niwe Rafiki yao wakiwa hapa Tanzania.

Katika ' Kuchati ' Kwangu na Wachezaji wa Kiganda wanaocheza pia Timu ya Simba akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wameonyesha Kukisifia mno Kikosi cha Taifa Stars na hasa hii ' Morale ' kubwa iliyopo huku wakisema kuwa hiyo Jumapili Kazi wanayo ila wakasema kuwa wanamuomba sana na mno Mwenyezi Mungu kuwa Kiungo Jonas Gerald Mkude ambao Wao wanamuona ndiyo ' Injini ' na ' bora ' kwa sasa nchini Tanzania asipangwe kwani kama akipangwa basi kwa aina ya ' Uchezeshaji ' wake kuna uwezekano mkubwa Wao ( Uganda Cranes ) wakafungwa mengi na Taifa Stars.

" Bother GENTAMYCINE naomba Mungu Mkude wetu huyu asipangwe na aendelee tu Kukaa benchi kwani kwa ninavyomjua na anavyojua Kuchezesha Timu kama akipangwa basi akina Samata, Msuva na Kichuya watatuumiza mapema mno na Waganda tutaumbuka. Tunamuogopa "...maelezo ya Okwi haya.

" Ssebo GENTAMYCINE huna Mganga ili utupeleke Waganda kusudi tumfumbe Macho Kocha Amunike asahau Kumpanga Mkude kwani kama kuna Mtu ambaye endapo akipangwa Siku hiyo anaweza kutibua Shehere yetu ya Kufuzu AFCON ni Yeye kwani ni Kiungo mwenye macho makali ya kujua wapi aupenyeze Mpira huku akijua Kutuliza Timu na nadhani hata Wewe Ssebo huwa unaona Timu yetu ya Simba ikiwa inacheza Kazi ya Mkude "....maelezo ya Murshid.

Akina GENTAMYCINE tukisema kuwa kwa sasa hakuna ' Defensive Midfielder ' bora hapa Afrika Mashariki kama Jonas Gerald Mkude kuna Watu huwa hamuelewi ila sasa kumbe hata Wachezaji wenzake wa Simba SC na wa Timu ya Taifa ya Uganda akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wamesema na kukiri kuwa ni Mchezaji mzuri, muhimu na amebarikiwa Kucheza sehemu ya Kiungo cha Chini ( Namba Sita )

Kazi Kwenu sasa mtakaopanga Kikosi cha Taifa Stars cha Jumapili dhidi ya Uganda Cranes ila Jonas Mkude ndiyo ' Lulu ' yetu.

Nawasilisha.
Umeumbuka! Huyo mumeo uliomsifia ulimuona akicheza Jana? Na je timu imefungwa? Ndiyo shida ya kuwa mwanaume mbea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tunae ujua mpira hii Tanzania nzima hatuna mirldfild na ndio maana Tanzania tunakwama tuna mildfeldy za kukaba tu sio za kuchezesha timu
huyo alioandika na hayo waganda bado Mpira hawajui
Umenifurahisha sana.. We kweli unaujua mpira...huwa namwangalia sana James kotei na mkude pale simba! . ila fei Toto anajitahidi.
 
Back
Top Bottom