GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Hahaha Mkuu sitaki ugomvi mapema yote hii nitajitia gundu tu katika siku yangu,ila naamini hakuna sehemu yoyote,niliyo ku crash,resist au ku argue juu ya thread yako nashangaa ugomvi wangu na wewe ni nini!!.
"An hero is he who controls his soul in a temper state"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na ulazima wa kutukana namna hii?
Jitafakari mkuu.
Let's make JF a better place for discussion and debating with strong logical arguments.
Nashangaa kwa nini Amunike ktk mfumo wake ambao mara nyingi ni defensive huwa hampangi Mkude.Ninachokiweka hapa na sehemu tu ya Maongezi yangu ya Kirafiki ambayo huwa nafanya na Wachezaji wengi wa Kiganda hasa hawa wanaocheza hapa Tanzania hasa kutokana na Historia yangu binafsi na hiyo nchi na Waganda kwa ujumla hali ambayo imenifanya niwe Rafiki yao wakiwa hapa Tanzania.
Katika ' Kuchati ' Kwangu na Wachezaji wa Kiganda wanaocheza pia Timu ya Simba akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wameonyesha Kukisifia mno Kikosi cha Taifa Stars na hasa hii ' Morale ' kubwa iliyopo huku wakisema kuwa hiyo Jumapili Kazi wanayo ila wakasema kuwa wanamuomba sana na mno Mwenyezi Mungu kuwa Kiungo Jonas Gerald Mkude ambao Wao wanamuona ndiyo ' Injini ' na ' bora ' kwa sasa nchini Tanzania asipangwe kwani kama akipangwa basi kwa aina ya ' Uchezeshaji ' wake kuna uwezekano mkubwa Wao ( Uganda Cranes ) wakafungwa mengi na Taifa Stars.
" Bother GENTAMYCINE naomba Mungu Mkude wetu huyu asipangwe na aendelee tu Kukaa benchi kwani kwa ninavyomjua na anavyojua Kuchezesha Timu kama akipangwa basi akina Samata, Msuva na Kichuya watatuumiza mapema mno na Waganda tutaumbuka. Tunamuogopa "...maelezo ya Okwi haya.
" Ssebo GENTAMYCINE huna Mganga ili utupeleke Waganda kusudi tumfumbe Macho Kocha Amunike asahau Kumpanga Mkude kwani kama kuna Mtu ambaye endapo akipangwa Siku hiyo anaweza kutibua Shehere yetu ya Kufuzu AFCON ni Yeye kwani ni Kiungo mwenye macho makali ya kujua wapi aupenyeze Mpira huku akijua Kutuliza Timu na nadhani hata Wewe Ssebo huwa unaona Timu yetu ya Simba ikiwa inacheza Kazi ya Mkude "....maelezo ya Murshid.
Akina GENTAMYCINE tukisema kuwa kwa sasa hakuna ' Defensive Midfielder ' bora hapa Afrika Mashariki kama Jonas Gerald Mkude kuna Watu huwa hamuelewi ila sasa kumbe hata Wachezaji wenzake wa Simba SC na wa Timu ya Taifa ya Uganda akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wamesema na kukiri kuwa ni Mchezaji mzuri, muhimu na amebarikiwa Kucheza sehemu ya Kiungo cha Chini ( Namba Sita )
Kazi Kwenu sasa mtakaopanga Kikosi cha Taifa Stars cha Jumapili dhidi ya Uganda Cranes ila Jonas Mkude ndiyo ' Lulu ' yetu.
Nawasilisha.
Nashangaa kwa nini Amunike ktk mfumo wake ambao mara nyingi ni defensive huwa hampangi Mkude.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa ni mzushi wa kiwango kingine halafu nanapenda sifa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahau kumvalisha Kikukuu miguuni na kiunoni.Gentamycine huu mwaka tutakuvalisha dela.
Mbona mudathir ameupiga mwingi leo
mudathir anachezea timu gani mkuuMbona mudathir ameupiga mwingi leo
Na mm nataka kujua au ni aka?mudathir anachezea timu gani mkuu
Umeumbuka! Huyo mumeo uliomsifia ulimuona akicheza Jana? Na je timu imefungwa? Ndiyo shida ya kuwa mwanaume mbeaNinachokiweka hapa na sehemu tu ya Maongezi yangu ya Kirafiki ambayo huwa nafanya na Wachezaji wengi wa Kiganda hasa hawa wanaocheza hapa Tanzania hasa kutokana na Historia yangu binafsi na hiyo nchi na Waganda kwa ujumla hali ambayo imenifanya niwe Rafiki yao wakiwa hapa Tanzania.
Katika ' Kuchati ' Kwangu na Wachezaji wa Kiganda wanaocheza pia Timu ya Simba akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wameonyesha Kukisifia mno Kikosi cha Taifa Stars na hasa hii ' Morale ' kubwa iliyopo huku wakisema kuwa hiyo Jumapili Kazi wanayo ila wakasema kuwa wanamuomba sana na mno Mwenyezi Mungu kuwa Kiungo Jonas Gerald Mkude ambao Wao wanamuona ndiyo ' Injini ' na ' bora ' kwa sasa nchini Tanzania asipangwe kwani kama akipangwa basi kwa aina ya ' Uchezeshaji ' wake kuna uwezekano mkubwa Wao ( Uganda Cranes ) wakafungwa mengi na Taifa Stars.
" Bother GENTAMYCINE naomba Mungu Mkude wetu huyu asipangwe na aendelee tu Kukaa benchi kwani kwa ninavyomjua na anavyojua Kuchezesha Timu kama akipangwa basi akina Samata, Msuva na Kichuya watatuumiza mapema mno na Waganda tutaumbuka. Tunamuogopa "...maelezo ya Okwi haya.
" Ssebo GENTAMYCINE huna Mganga ili utupeleke Waganda kusudi tumfumbe Macho Kocha Amunike asahau Kumpanga Mkude kwani kama kuna Mtu ambaye endapo akipangwa Siku hiyo anaweza kutibua Shehere yetu ya Kufuzu AFCON ni Yeye kwani ni Kiungo mwenye macho makali ya kujua wapi aupenyeze Mpira huku akijua Kutuliza Timu na nadhani hata Wewe Ssebo huwa unaona Timu yetu ya Simba ikiwa inacheza Kazi ya Mkude "....maelezo ya Murshid.
Akina GENTAMYCINE tukisema kuwa kwa sasa hakuna ' Defensive Midfielder ' bora hapa Afrika Mashariki kama Jonas Gerald Mkude kuna Watu huwa hamuelewi ila sasa kumbe hata Wachezaji wenzake wa Simba SC na wa Timu ya Taifa ya Uganda akina Emanuel Okwi na Juuko Murshid wamesema na kukiri kuwa ni Mchezaji mzuri, muhimu na amebarikiwa Kucheza sehemu ya Kiungo cha Chini ( Namba Sita )
Kazi Kwenu sasa mtakaopanga Kikosi cha Taifa Stars cha Jumapili dhidi ya Uganda Cranes ila Jonas Mkude ndiyo ' Lulu ' yetu.
Nawasilisha.
Azammudathir anachezea timu gani mkuu
Umenifurahisha sana.. We kweli unaujua mpira...huwa namwangalia sana James kotei na mkude pale simba! . ila fei Toto anajitahidi.tunae ujua mpira hii Tanzania nzima hatuna mirldfild na ndio maana Tanzania tunakwama tuna mildfeldy za kukaba tu sio za kuchezesha timu
huyo alioandika na hayo waganda bado Mpira hawajui