Nani akumwagie kwa mfano?Hiyo honey veepe... Mie sitaki kumwagiwa tindikali ujue
HahahaNisalimie Dada kwa babu yako
Mkuu tutaendelea na interview soon
Mwambie zimefika, ajiandae kwa intavyuu eti...Hahaha
Babu unasalimiwa huku
Unajisahaulisha eeehh.... Ila ngoja nitumie fursa... NiambieeNani akumwagie kwa mfano?
Ila amekuwa mbunifu aiseeHahaha!. Mimi Leo nimetoka kwenye majukumu, asee nimecheka mno.
Kungekuwa na voice notes, ungesikia anauliza swali kwa sauti hii alafu anajijibu kwa sauti nyingine.
Aisee, burudani tosha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mumeingilia intaviuu, Mungu anawaona kabisa.
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
Mbona kama unanipiga mikwala jamani?Unajisahaulisha eeehh.... Ila ngoja nitumie fursa... Niambiee
Shunie ukuje hukuMwambie zimefika, ajiandae kwa intavyuu eti...
HahahaMbona kama unanipiga mikwala jamani?