Exclusivee... naji Interview mwenyewe

Kweli mwanaume mashine!vibamia ni twa mboga!
 
Reactions: Lee
Ngoja kwanza naiweka hii mada kwenye friji nikitoka job naanza nayo.
Sasa mods nikute mmeifuta nawafuata huko headquarter kwenu[emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kutokana na elimu yako ya la 6. Mkuu unaniua jamani.
Mtu aliyekaribu na Mimi aninyang'anye simu maana nacheka kama chiz
Njoo tucheke wote make huyu ananifanya niwe chiz
 
Kutokana na elimu yako ya la 6. Mkuu unaniua jamani.
Mtu aliyekaribu na Mimi aninyang'anye simu maana nacheka kama chiz
Huyu ni kama shahidi wa jana kwenye kesi ya Lissu.

Kuna sehemu alisema alifanya jambo fulani akiwa form 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…