Exclusivee... naji Interview mwenyewe

Exclusivee... naji Interview mwenyewe

21147366_113388096000008_7850420311156588544_n.jpg

Boss ka swali haka nahs katazua utata ila poa namzimia sana Numbisa jakitoo babe S na Miss Natafuta
 
Ngoja kwanza naiweka hii mada kwenye friji nikitoka job naanza nayo.
Sasa mods nikute mmeifuta nawafuata huko headquarter kwenu[emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kutokana na elimu yako ya la 6. Mkuu unaniua jamani.
Mtu aliyekaribu na Mimi aninyang'anye simu maana nacheka kama chiz
Njoo tucheke wote make huyu ananifanya niwe chiz
 
Kutokana na elimu yako ya la 6. Mkuu unaniua jamani.
Mtu aliyekaribu na Mimi aninyang'anye simu maana nacheka kama chiz
Huyu ni kama shahidi wa jana kwenye kesi ya Lissu.

Kuna sehemu alisema alifanya jambo fulani akiwa form 4
 
Back
Top Bottom