Kwani hata huu si mradi wa Nairobi?I thought mlisema kila mradi ni Nairobi? Sasa umebadilisha?
Unafaa ujue, Central Kenya ndio imekaribiana na Nairobi. Ili kujenga barabara kutoka Nairobi hadi maeneo mengine ya nchi, kuna uwezekano mkubwa utapitia central.
Na hii hapa Kisumu Ni Nairobi pia ama?Kwani hata huu si mradi wa Nairobi?
Unaongea Tabora ipi?Suala la barabara mpo bado sana, nililishwa vumbi eneo fulani Manyoni ukielekea Tabora kilomita nyingi sana vumbi tupu hamna lami hadi nikadhani niko jangwani. Itawachukua muda mrefu kabla kufikia Kenya kwenye mambo ya barabara. Sijui ktu gani kiliwachelewesha hivi, ila nadahni ni uvivu uliosababishwa na sera za kijamaa maana mpaka leo hamjaweza kujinusuru.
Tembea Kenya kaka
Unaongea Tabora ipi?
Tabora kuna ujenzi wa barabara zenye urefu wa zaidi ya kilometres 500 kwa sasa kuunganisha mikoa na wilaya
Huyu mzee huwa nimemkubali. Mchapakazi sana! Ni kama Matiang'i ama Nelson Marwa vile.Huyu Mwaniri ndiye hufanya kazi Kikenya, nafikiri ana undugu na Kenya maana hayo majina Mwaniri yamejaa huku, au atakua Mchagga maana wale ndio baadhi ya Watanzania ambao wapo kwenye level moja na Wakenya, hao na Wahaya, ila nyie wengine kazi kuburuzwa tu na kujazana huku Kenya mkiomba omba.
Mkimpeleka Dar akachukue nafasi ya yule dogo Bashite ambaye huwa mnamkingia kifua pamoja na kuboronga kote kule, Dar inaweza kujongea jongea Nairobi japo kwa umbali.
Ukitokea Manyani kuelekea Tabora kuna safu nililishwa vumbi kilomita nyingi sana, ni kama kutoka Naivasha hadi Nairobi barabara bila lami vumbi tupu tena maeneo ya watu hata sio maporini, kama Mwaniri amerekebisha hilo poa, ila ilikua balaa sana.
Kaka,kisumu na kakamega pekee Ina barabara nzuri kuliko dar. Isitoshe,Kenya has almost double the road connectivity than Tanzania.Labda kama ni Nairobi. Lkn nje ya Nairobi ni shidaa. Mikoa mingi bado haijaunganishwa.
Labda kama ni Nairobi. Lkn nje ya Nairobi ni shidaa. Mikoa mingi bado haijaunganishwa.