JAPHET MAKUNGU
Member
- Feb 1, 2011
- 21
- 5
Jamani wana JF, kuna waajiri wengine wanaudhi sana pale wanapotaka kuajiri mtu mwenye experience. Kuna watu ndo tumetoka chuo tunahitaji kazi ili tupate uzoefu wao wanasema experience....... experience? a lot of bullshit!Hivi nani alizaliwa na experience?wapi hao wenye experience walikozipata?hawakuwa na siku katika maisha yao ambayo waliita siku ya kwanza kazini?wanataka hizo experience tuzipate wapi kama hatutapata sehemu ya kuanzia? nini maana ya staff training and coaching?
Hebu tulijadili hili wana JF hasa wahanga kama mimi.
Hebu tulijadili hili wana JF hasa wahanga kama mimi.