Ni kweli inaudhi haswa pale unapoambiwa 5 to 10 years experience,unajiuliza je graduates waende wapi?
hata hivyo ukiangalia kuna ile experience ambayo unaweza kuipata thru internship, ukiwa likizo mwanafunzi jitahidi kutafuta
mahali ukafanya internship hata kwa mwezi mmoja,mpaka umalize chuo experience unayo tya kutosha..au pia kuna kazi za kuvolunteer unaweza fanya,pia ni experience.
Tatizo letu sisi tunasubiri tumalize chuo kabisa ndo tutafute kazi matokeo yake unakutana na huo msemo 'experience' tunabaki kulalama tuu.
tujitume vijana, tufanye kazi,use ur likizo time kufanya kazi whether ni volunteer job au internship ili mradi upate experience.
Ni mtazamo tu.