Nataka kuhukumiwa kwa case za watu wengine. So unfair[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwamba ameulaaπ€ͺπ€£Usilaze damu binti maua kwa Mr handsome hapo,light skin .
KweliSio kweli .
π€£π€£π€£ bado hayajaisha?Eti kuna mtu nataka nimchezee[emoji1787][emoji1787]
Maua anataka kutugombanisha πππSio kweli .
Wapi anitembelee? Mi naishi vijijini huku ifakara ππππNitamwambie akutembelee
Gari ipo atafikaWapi anitembelee? Mi naishi vijijini huku ifakara ππππ
Mkuu na ukongwe wako wote umeshindwa kuelewa hiyo code na ulikuwa hapahapa yote uliona?Hahahahaha the sentence should be be βboldβ π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ
Hongera mkuu
Amtembelee akamle kimasihara etyπ€£π«£ππΏNitamwambie akutembelee
Tunawatakia kheri.Mwamba ameulaaπ€ͺπ€£
Kabisa mkuu.Tunawatakia kheri.
Wewe huyo unamdalalia π€£π€£π€£Gari ipo atafika
Nakuja tuyajenge mama ntakulinda zaidi ya mwenge wa uhuru unavyolindwaKweli mnakuwa wema hapa ngoja basi tuwe na mawasiliano mnaanza sintofahamu unakuwa hueleweki hapo hujawa naye hata kimapenzi
ππMaua anataka kutugombanisha πππ
MhmmmKweli
Kwa nn mkuuNataka kuhukumiwa kwa case za watu wengine. So unfair