๐๐๐EeeeeuuuuuuuhHabari za usiku waungwana.
Nimekumbuka experience yangu humu JF 10 years ago, nilikutana na a nice guy, ngoja nishee nanyi.
Iliku
Ni miaka imepita kama 10, it was a nice experience ingawa iliisha kitofauti๐คฃ๐
Hongera bana,binafsi napenda zaidi watoto wa kiume,manake naona kama malezi ya mtoto wa kike yanahitaji umakini wa hali ya juu sana,hasa kwenye hizi nchi za ulimwengu wa tatu.Nina mbegu safi vitoto vyangu vinakuwa kama vimalaika. Tutafanya mpango tuongeze kidume kimoja the world needs it โฅ๐ฌ
Hongera sana nina mtoto wa kiume ha wa kike. Wa kiume ana miezi 3 sasa.
Hakuna strategy yoyote,hii ni kama diary tu,mtu unafeel kushare some matukio ulopitia wakati wa ukuaji.Ujumbe umeletwa vere stratejiki,,,Umetisha Mamii,,Truli Yua ayani bata flai kwerii kwerii,,Teki Yua flawazi Kipepeo ๐๐๐๐!!!
๐คฃ๐คฃYap,nilikula bata sana wakti ule,yani unafanya kazi while having fun.hapa sasa unatuoshea๐
๐คฃ๐คฃNishakuwa shangazi sasa ๐ haya yalitokea nikiwa bado kabinti kabichi kabisa,ambako kalikuwa bado very honest na kenye usafi wa kutosha,bila makandokando.Baada ya kuusoma huu uzi then nikapata kutambua umri wako kwa sasa, na vipi jimbo bado lipo wazi??
Nami nimefanya utani tuu wala usiyatilie maanani!!Hakuna strategy yoyote,hii ni kama diary tu,mtu unafeel kushare some matukio ulopitia wakati wa ukuaji.
Hajawahi kusoma nje ya nchiMh mbona nahisi ni mwigulu nchemba kabisa
Hata kama liko wazi kwa hayo meno yako.......Baada ya kuusoma huu uzi then nikapata kutambua umri wako kwa sasa, na vipi jimbo bado lipo wazi??
Sawa madame, mtu mzima mwenzio nimekuelewa umebarikiwa watoto wawili na upo kwenye mahusiano yasio na kifungo cha ndoa...๐๐คฃ๐คฃNishakuwa shangazi sasa ๐ haya yalitokea nikiwa bado kabinti kabichi kabisa,ambako kalikuwa bado very honest na kenye usafi wa kutosha,bila makandokando.
Miaka unakwenda,leo siyo jana, hivyohivyo na mwanadamu anakuwa na kubadilika,kimfumo wa maisha,ukibaki stagnant for 10 years,tunasema Kuna tatizo pahala.
Nimebarikiwa watoto wawili,na niko kwenye mahusiano yenye afya,yasiyokuwa na kifungo Cha ndoa.
Huu ni mwanya chief...๐Hata kama liko wazi kwa hayo meno yako.......
HongeraHuu ni mwanya chief...๐
Na kwanini ufuatiliwe? Si useme tu kuwa umeoa.Ila wanaume๐๐๐
.........tatizo ni upofu WA mapenzi na zile fantasies za wakati was mahusiano, wanawake mnasahau jukumu kubwa la kumfuatilia kiundani mwanaume kama ameoa au la.......
.....ni wazi kuwa nikikwambia kuna asilimia zaidi ya 80 kukukosa, kama ke unahitaji ndoa inabidi ubebe jukumu hilo, vinginevyo you are not serious......Na kwanini ufuatiliwe? Si useme tu kuwa umeoa.