Experience yangu kuhusu PEP-(Vidonge vya kukinga na maambukizi ya VVU)

Experience yangu kuhusu PEP-(Vidonge vya kukinga na maambukizi ya VVU)

Shozylin

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
341
Reaction score
699
Wakuu amani iwe nanyi, last week kuna kadada flan iv kapo mkoa wangu, niwe muwazi nilikaona fb tu nikakachokoza tukapeana namba, tukachat mpaka kufikia stage ya kukulana (mahusiano)

Sku ya kukulana yumekutana vizuri nikajisahau kutumia kinga, yule mtoto bhana ni kama hakua na fungus sugu basi ni PID, uchi haukua na harufu ila kuna kama uchafu flan iv mweupe ulio ganda kama maziwa mtindi.

Kilicho nipa waswasi wanza wakati wa kuingiza alilamika kuhisi maumivu wakat dushee likimuingia.. tukafanya.

Nikawaza mama kahisi maumivu maana yake nimemchubua, vip kuhusu mimi kingine haka karembo kalikua kanaongea na simu ambazo zilinifanya nihis jakajatulia, hatimaye kakazima simu. Ningefanyaje na tayari nimesha kala kavu.

Baada ya gemu nikamuachia akaondoka wakati huo tukakubalia tutapima j3 maana sku hiyo ilikua alhmais... Alivo ondoka nikawaza kuna umuhimu gani wa kupima j3 wakati tumefanya leo.? Ikitokea mmoja wetu akawa ni mzima.? Nikampgia sm na kumuomba tuonane tukapime mda huo akadai yuko busy.

Nikampgia dk mmoja ni rafiki angu akanambia njoo hapa hospital nikaenda taratibu zikafanyika za kupata Pep na nikapata

J3 nikamchek mdada wa watu akadai yupo busy hana mda na sababu nyingi. Nikasema weee usinitanie acha nipge zangu pep hapa.

Kiukwel ni hii itakua experience mbovu sana na itakua na funzo ndani yake..

PEP zenyewe ni Kali sana zimeharibu choo changu, napata choo kwa shida kwa kuniradhimisha tu nimekula mapapai wapi.. bado pia nakua mchovu mchovu, sometimes nahisi kichefu chefu.

Vip kama haka kabinti kakikubali tukapime na kakawa kazima ni naweza kuziacha na nisipate shida ?

Hizi pep ni sawa na ARV wanazo meza watu ambao ni wagonjwa nikimaanisha ile nguvu ya dawa, kuhisi uchovu na kichefu chefu.? Wenye experience wanijibu pls
 
Unataka ujibiwe nini mkuu...

Wewe endelea kubwiya mbaazi, taifa linakuhitaji...
Mkuu zenyewe nazipiga mpaka mpaka siku zitimie...

Ila niliuliza kua....
Vip kama haka kabinti kakikubali tukapime na kakawa kazima ni naweza kuziacha na nisipate shida ?

Hizi pep ni sawa na ARV wanazo meza watu ambao ni wagonjwa nikimaanisha ile nguvu ya dawa, kuhisi uchovu na kichefu chefu.? Wenye experience wanijibu pls
 
Mkuu zenyewe nazipiga mpaka mpaka siku zitimie...

Ila niliuliza kua....
Vip kama haka kabinti kakikubali tukapime na kakawa kazima ni naweza kuziacha na nisipate shida ?

Hizi pep ni sawa na ARV wanazo meza watu ambao ni wagonjwa nikimaanisha ile nguvu ya dawa, kuhisi uchovu na kichefu chefu.? Wenye experience wanijibu pls
Usiwe na shaka juu ya izo side effects ni kawaida,pia hata kama mkipima then ukawa huna maambukizi hakuna haja ya kuendelea kutumia pia hakuna madhara utayopata.Pia kwa ushauri ni bora ndani ya miez miwili hakikisha unapima hiv at least kila baada ya wiki mbili,sometimes hivi virusi vinachukua muda kuwa detected hasa kama immunity yako iko vizuri.
 
Usiwe na shaka juu ya izo side effects ni kawaida,pia hata kama mkipima then ukawa huna maambukizi hakuna haja ya kuendelea kutumia pia hakuna madhara utayopata.Pia kwa ushauri ni bora ndani ya miez miwili hakikisha unapima hiv at least kila baada ya wiki mbili,sometimes hivi virusi vinachukua muda kuwa detected hasa kama immunity yako iko vizuri.
Asante sana mkuu, acha niendelee kutumia dawa mpaka pale atakapo kubari kuja kupima nae ndani ya siku 28.
 
Jitahidi kunywa dawa hizo mpaka siku 28 muda uleule, usinywe bila kula. Side effects ni za kawaida ondoa shaka utapona na mambo yatakuwa safi. Mwisho kabisa HIV sio kifo bado kuna tumaini. Jikaze ni hali ya kawaida. Usiwe na hofu. 😁
 
Wakuu amani iwe nanyi, last week kuna kadada flan iv kapo mkoa wangu, niwe muwazi nilikaona fb tu nikakachokoza tukapeana namba, tukachat mpaka kufikia stage ya kukulana (mahusiano)

Sku ya kukulana yumekutana vizuri nikajisahau kutumia kinga, yule mtoto bhana ni kama hakua na fungus sugu basi ni PID, uchi haukua na harufu ila kuna kama uchafu flan iv mweupe ulio ganda kama maziwa mtindi.

Kilicho nipa waswasi wanza wakati wa kuingiza alilamika kuhisi maumivu wakat dushee likimuingia.. tukafanya.

Nikawaza mama kahisi maumivu maana yake nimemchubua, vip kuhusu mimi kingine haka karembo kalikua kanaongea na simu ambazo zilinifanya nihis jakajatulia, hatimaye kakazima simu. Ningefanyaje na tayari nimesha kala kavu.

Baada ya gemu nikamuachia akaondoka wakati huo tukakubalia tutapima j3 maana sku hiyo ilikua alhmais... Alivo ondoka nikawaza kuna umuhimu gani wa kupima j3 wakati tumefanya leo.? Ikitokea mmoja wetu akawa ni mzima.? Nikampgia sm na kumuomba tuonane tukapime mda huo akadai yuko busy.

Nikampgia dk mmoja ni rafiki angu akanambia njoo hapa hospital nikaenda taratibu zikafanyika za kupata Pep na nikapata

J3 nikamchek mdada wa watu akadai yupo busy hana mda na sababu nyingi. Nikasema weee usinitanie acha nipge zangu pep hapa.

Kiukwel ni hii itakua experience mbovu sana na itakua na funzo ndani yake..

PEP zenyewe ni Kali sana zimeharibu choo changu, napata choo kwa shida kwa kuniradhimisha tu nimekula mapapai wapi.. bado pia nakua mchovu mchovu, sometimes nahisi kichefu chefu.

Vip kama haka kabinti kakikubali tukapime na kakawa kazima ni naweza kuziacha na nisipate shida ?

Hizi pep ni sawa na ARV wanazo meza watu ambao ni wagonjwa nikimaanisha ile nguvu ya dawa, kuhisi uchovu na kichefu chefu.? Wenye experience wanijibu pls
Dah one man Down
 
Atakuwa alikuwa na fungus. Pole sana mkuu mpaka miezi mitatu ipite utakoooondaa, utapaukaaaa, mpaka ufananie na waathirika wale walio hatua za mwisho.

Hadi nakuonea huruma maskinii[emoji17][emoji17]. Na hamna kitu inakera kama unamwambia mtu mpime anajibu yupo busy[emoji23][emoji23]unaweza mnyonga.

Hata akipima wewe endelea kumeza dawa maana yawezekana naye yupo kwenye window period. Halafu nikwambie kitu? Mtu ambaye ndio kapata maambukizi ila bado hayaonekani kwenye vipimo anaambukiza hatari zaidi ya yule ambaye tayari anajijua.
 
Back
Top Bottom