Experience yangu kuhusu PEP-(Vidonge vya kukinga na maambukizi ya VVU)

Mtu anapata wap ujasiri wa kugonga kavu kav ?
Me nyege izo cn kwa kwel. kuna day nilienda kumtembelea mchepuko mageton kwak sikuwa na nia ya kwenda kumla ila galfa akata nimle ten kwa kuforce nikamuliza unazo condom akasema hana bc nikamwambia ushanikosa vaa nguo zako alimaindi san nishaacha kula nyapu kwa kukosa condom t na huwa wala sipapatikii nyapu me.
 
Niliwahi tumia, lakini kwa upande wangu hazikunipatia shida
 
Mkuu zingatia mazoezi, pia usiache kula matunda , kula vizuri pumzisha mwili wako. Ukizingatia hayo, utaishi kwa matumaini
 
Kiongozi naamini ulitoka salama,au ndo upo kwenye dozi rasmi ya arv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…